Ni mkoa gani uupendao kuliko yote.

Njoo moshi vijijni ww uone raha kijij kina mpaka banks sio moja sasa

Bia za 1000 buk mbege za kutosha yan
Maji unachota mferejin safi no bills umeme ,maji,hospital kila kijij
 
Njoo moshi vijijni ww uone raha kijij kina mpaka banks sio moja sasa

Bia za 1000 buk mbege za kutosha yan
Maji unachota mferejin safi no bills umeme ,maji,hospital kila kijij
Sounds good
 
Nimesoma comment zote, mpaka sa iv Mwanza inaongoza ikifuatiwa na arusha namba tatu ni mbeya huku dar ikijikongoja nafasi ya nne
 
Dar mkoa mchafu kuliko yote, makabila yote tz yapo dar, ustaarabu zero kbs, machemba kumwaga vyoo barabarani kawaida kabisa, msongamano wa watu usiseme. Kila tunda lililoanguliwa kabla ya muda na kuivishwa kwa moto lipo dar. Wanawake wenye rangi za kuungua usoni kwa mikorogo ndio wengi. Vyakula vinavyopikwa ktk mazingira machafu njoo dat. Yani mtu kupasifia dar labda akapimwe akili.
 
Dar Tz ndio mkoa pekee nchini unaoongoza kupokea wageni kutoka almost mikoa mingine yote ya nchi hii kila siku iendayo kwa mola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…