Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Kumbe hakuwa mpenzi wako au hiyo ilikuwa trick kukwepa fedhea
 
Wanajifunguaga kwa operation wengi wao.

Halafu nasikia vina nguvu haswa..wanaweza kujifungua huku wamesimama kama nyumbu halafu wakamdaka mtoto kabla hajadondoka chini.
Uwe na adabu!
 
Bwana Azarel wewe ndiye yule aliyembaka Mbilikimo Tunduma mwaka mpya,cause nakumbuku nilisikia hilo tukio nikiwa Tnd January na huyo Mbilikimo alikutambua kwa shati ulilokua umevaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: SDG
Duuu...kama hizi simulizi ni kweli basi Tz ya viwanda itapatikana
after second phase of colonization.
 
Reactions: SDG
Yan kuna mpare mmoja sitakaa nimsahau nilikutana naye tangaa anapenda diniii yan biblia kila mahali kama kweli vilee ila alikuwa anakuja kila napokuwa kwa gharama zake hadi za hotel analipa dar...tanga...arushaa kuja kujua chanzo cha pesaa zake [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
hahahahaha hii shuhuli pevu.
 
Wanajifunguaga kwa operation wengi wao.

Halafu nasikia vina nguvu haswa..wanaweza kujifungua huku wamesimama kama nyumbu halafu wakamdaka mtoto kabla hajadondoka chini.
ha ha ha ha ......................
 
ehe mkuu chanzo cha pes ilikuwa ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…