[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comments za huu Uzi mie hoi
Mbona unaongea kwa unyoonge mkuu?!Daaaaaaah
Mimi kipindi flani niimpataga ka mbilikimu kama ka tausi. tulikuwa bar tumenunuliwa the kick tunakunywa bar sasa vinywaji vilipoisha tukahamia nyingine. si unajua tena watoto tuliokulia gheti kali mwisho kutembea saa kumi jioni uwe ndani.
sasa pombe ilipomkolea tulipanga na jamaa zangu waniachie nimchukua mpaka chuoni tena tulikuwa tunakaa kama watatu room moja.
nilipofika naye chuoni nakumbuka nikakuta wamezzima taa roommate wangu wanaongea na simu. mimi nikakaingiza ndani ka kibwengo kangu.
sasa badala ya kunipisha nifanye yangu wakanikazia. nilichofanya nikaambia ka kibwengo kangu vua nguo. kimasihara masihara hapa na pale mi nikala mzigo ila kalikuwa kanakelele sana alafu kanaruka ruka.
kesho yake asubuhi tukaitwa kwenye kikao cha dharura. agenda nikawa mimi. kwa nini mdada alikuwa anapiga kelele angekufa je? niliishia kupewa adhabu ya kufagia chuo kizima
nikikumbuka siku hiyo najishangaa uanafunzi shida sana?
Hiyo nusu ya robo, gawanya kwa tatu.thus why siwaamin wanawake hata nusu ya robo
Alijiua kweli masikin maria duuh mbona hii imenisikitishadaaah kuna mtoto mmoja wa mbunge alikuwaga ananipendaga sana nakumbuka kuna siku nilimwambia tuachane sasa kesho yake nikapgiwa cm na baba akaniambia we kijana njoo haraka nyumbani mtoto wangu anataka kujiuwa kisa wewe,bac kufika yule demu kuniona akanikimbia akanibusu mbele ya babaake dah r.i.p maria
Kalikuwa bikra ila kina mchezo mbayamimi nilikutana na kabinti kumbe bado bikra ,kila nikikashika shika kanajamba tuu,
siku kalipo kubali tukapeane papuchi aisee kalijamba nunstop hadi nikakaacha bila kukagengenda.
kuazia siku hiyo sitaki tena vibinti mie
Nimelia sana mdogo wangu kwa kukutana na hako ka kajambazi enzi hizo 🤣🤣🤣🤣🤣Nikiwa bado msichana nilidate kidogo na kaka mmoja hivi, kwakweli hadi leo sielewi alikuwa na tatizo gani na mimi,
Kwanza hata hakunitongoza ilitokea tu kufahamiana kupeana mawasiliano then tukajikuta tunawasiliana kwa simu kama mwezi hivi coz alienda mkoa mwingine kufungua office then akarudi, Aliporudi tukaonana tu siku hiyo hiyo. Tulivyoonana tu tukahug salamu tu mambo-poa, za siku - nzuri, nikachukua wine nikawa nakunywa apo mara touches zikaanza coz tulikutana kwake, mambo yakajipa tukagegedana basi jioni ikawa tayari akanirudisha kwetu, njiani kwenye gari hakuniongelesha kabisa nikajua kawaida tu, basi akanidrop home kimya kimya yaani ni ile bye bye. Basi Ndugu zangu nilijishtukia si kidogo nikajiuliza what have I done wrong , niliwaza sana baadae kama saa 5 usiku hivi akanitext akanichatisha how sex was good, ameenjoy na vitu kama hivyo. Angalau nikajipa moyo kuwa nothing was wrong.
Basi bwana mtindo ukawa hivyo kukutana, kuromance, kugegedana, kurudishwa home. Yaani hata mkienda out hamna stori ni kula kunywa na kurudi, yaani tunakuwa kama tumenuniana but ukimuangalia unagundua kabisa he is happy.
mhhh nikaja kumfahamu rafiki ake mmoja hivi nikamuuliza kuhusu tabia ya mshkaji wake akasema mbona ni mtu muongeaji tu wakiwa nae. Nikahisi labda hajanizoea, mtindo ukawa vilevile kuongea ni salamu tu au ukimuuliza swali atajibu kwa kifupi sana.
Siku moja akanitext saa saba uje somewhere ntakuwa na washkaji tupate lunch nikamwambia ntachelewa kama dakika 30 hivi, ila sikuchelewa hata dakika 2, kufika nikawaona wamekaa kona hivi wameipa mgongo sehemu yakuingilia, so naingia hawanioni isipokuwa mmoja ndo macho yalikuwa sehemu yakuingilia, jamani jamani nilimsikia mwanaume wangu anaongea yaani anaongea MC hamfikii, nikajiuliza huyu ndiye kweli, alivyoshtuka mi nipo nyuma yao alipoa kama maji na hakuongea hadi tunaondoka.
Siku nyingine nikamuomba anywe bia kama 7 hivi maana alikuwa sio mnywaji sanaaa, akanywa hoping labda akilewa ataongea wapiiii, hakuongea neno hata moja, jamani huyu sijui alikuwaje, mkimaliza kugegedana mkishaachana anaanza kukuchatisha, sijui how was it, kwangu it was so damn good sijui ninini, atakuchatisha kila mara anapopata muda ila hawezi kupiga simu hata siku moja, hata ukiwa nae physically haongeiiii, utamwambia kitu atajibu utamchekesha atacheka kidogo tu basi, ukimuuliza kama ana tatizo anajibu hana.
Maisha yakawa hivyo hivyo almost kwa miezi kadhaa nikawa naona ananiboaaa maana mi ni mtu wa utani sana afu muongeaji plus napenda kuchekaaa, nikawa bored nikampotezea nikamblock kabisa, tukapotezana kama miaka 5 hivi Nikaja kusikia amehama kikazi.
Majuzi nimekutana nae airport dar, nipo lounge ye alikuwa wa kwanza kuniona kaja kunisalimia baada ya salamu akakaa pembeni kimya kama hanijui. flight yao ikawa ya kwanza kuondoka kanipa business card eti unitafute tafadhali mfyuuu sijamtafuta hadi leo.
Mkwe! Kumbe wewe ni jambakaa🙄Kuna mtoto mmoja alikuwa friend with benefits..alishanigeuza baba yake... halafu bado akawa na mchizi mwingine... I nilimkomesha Nilimkopa pesa kama nimepata dharura...baada ya hapo nikamwambia tuachane..ananiambia hela yangu nikamwambia kwan nilivyokua nakupa hela mimi baba yako???
Ananichukia saana paka leo
Wengi ni kabila gani hao mkuuChuo kimoja cha dip kipo mwanza wilaya nzee kuliko zote mwanza.
kina watu wazima sema wenye akili za kitoto japokuwa leo tupo wote kazini ila nimewatenga maana hawajakuwa upstair.
wanapenda kufuatilia ya watu. wanataka wanachokifanya wao na wewe ukifanye.
they are miserable being sijapata kuwaona.
Ko mkuu ikawaje baada ya hapoKuna kadem Kalipita Kibalazan Mi Nikakaita Kalikuwa vzr sana kana lafudhi ya kipemba Mtandio Full
Cha ajabu Nikakatongoza kakakubali Siku iyo iyo nikaambia kaje geto Eehh si kakaja Wakat Najiandaa kuvua nguo Si mwenzangu Naona ananikodolea macho namuuliza Vp Wala hanijib
Kwanin Asianze kunguruma kama Chura yupo ktk shimo tif tif lilotokea Hapo acha tuuu
Naona umefukua kaburi langu! Kuna vitu bana kila nikikumbuka nasema God-forbid 😂😂😂Nimelia sana mdogo wangu kwa kukutana na hako ka kajambazi enzi hizo 🤣🤣🤣🤣🤣
Nimefukua huku nimefumba macho na kuvuta taswira ya huyo mtu hata kutamka maneno wakati mnapigana ndondi alishindwa ? Hata tu kusema "napenda nyonyo zako zinavyonidunga roho nikikuhug " ila tuachane nayo 🤣🤣Naona umefukua kaburi langu! Kuna vitu bana kila nikikumbuka nasema God-forbid 😂😂😂
Sitaki tena, mtu anakufanya unajiulizaaaa.
N’ways.. how are you Man Zulu.
Eeeeeh! Utamu na makubaliano?🤣Mm nilikutana na kidem Cha form six mwaka flani nikakipiga sound kipindi hicho nipo second year nafukuzia kadigrii kangu
Oneday akaja getto nikaforce kupiga mzigo mtoto kagoma. Mida ikasogea mpaka nikakata tamaa, kumbe na kenyewe kana kipuro hatari ila hakataki tu kunipa kirahisi[emoji41] basi nikabembeleza kidogo kale matunda then nikasindikize.
Time ya kuondoka imewadia mtoto hataki kuondoka badae akaniambia nimpe kalamu na karatasi kuna kitu anataka aandike.
Nilishangaa🤭mtoto ananipa kalamu eti tia saini hapa[emoji12] nilivyosoma kumeandikwa leo nakupa ila ukiniacha nakuua[emoji23][emoji23][emoji23]. Nilisaini chapu nikaitandika papuchu. Baada ya hapo kila siku alikua anakuja anachezea.
Yatakushinda! 😂😂😂😂Nimefukua huku nimefumba macho na kuvuta taswira ya huyo mtu hata kutamka maneno wakati mnapigana ndondi alishindwa ? Hata tu kusema "napenda nyonyo zako zinavyonidunga roho nikikuhug " ila tuachane nayo 🤣🤣
Aiseeeh ! Niko salama hofu kwako?
Ngoja tuelekee kibaruani sasa.
Asante asante.Yatakushinda! 😂😂😂😂
Kazi njema!