Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

asee nilikutana na kademu hako sitasahau kalikua kajirani kangu ila kaswahili balaa kakija geto kuliamsha dude kananambia mpaka tuwaseme watu wa mtaa ndo nyegez zake zinapanda


mwanzo niliona uzushi basi nikawa nafanya kama utani naanza msema muuza duka wa mtaani kwamba inasemakana anatumia ulozi japo sina hata uhakika ukikaambia ivyo katauliza kweli huku kanavua nguo basi katakupa ubuyu kibao mpaka unajikuta bao tatu tayari...


kuja kutahamaki kila kakitaka mgegedo lazima katake umbea kwanza siku nikaona nikapge kibabe bila kusnitch watu hakakunipa ushirikiano hata ziwa ukinyonya gumu kama sanamu....


doooh nikaona ili tatizo nikakapga chini na mtaa nikahama sijui kaliishia wapi kale kamanz then nikapini balaa ila mashart YAKE sasa
 
Hahahaha wewe ni chizi haujaachagga kuota tu
Cc Inna
 
mtakatifu soon tutakupeleka mirembe arifuuu
 
Poland au Russia kabisa?
 
Mimi niliempata wa ajabu alisema.....
Bebi nakuja, kumbe akanya...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2]....nakojoa. .....nakojoa... nakojoa....!!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15] Duu nikaona hii sasa shida hachelewi kunya huyu..... Fasta nikampeleka chooni[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Sijawai kutana na kaka wa ajabu kama nilietoka achana nae... Yaani atakua na matatizo ya akili, si kwa vituko hivi... Yaani unaweza kuta usiku wa manane anakuja kukugongea mlango eti amekumisi., usipomfungulia mlango atazunguka dirishani na kukugongea weee mpaka akichoka ataondoka. Wakati nipo nae nilidhani ni mapenzi... Yaani anaweza kaa nje akusubiri utoke, mgeni akija tu nae unaona huyoo anagonga hodi. Siku namwambia tuachane alilia kama mtoti
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ulizidisha ufundi [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…