Ni Msanii gani huwezi kuomba kupiga nae picha.

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
54,943
Nazungumzia wasanii wa hapa Tanzania, je ni msanii yupo hata mkutane porini mkiwa huwezi kutamani hata kupiga nae picha!?

Kwangu Mimi.

Rich Mavoko
Harmorapa
Harmonize
Dimpozi
Queen Darleen

Hata niwakute wako pekee yao siwezi kabisa kuphotoka nao
 
Nazungumzia wasanii wa hapa Tanzania, je ni msanii yupo hata mkutane porini mkiwa huwezi kutamani hata kupiga nae picha!?

Kwangu Mimi.

Rich Mavoko
Harmorapa
Harmonize
Dimpozi
Queen Darleen

Hata niwakute wako pekee yao siwezi kabisa kuphotoka nao
Unapiga picha na msanii ili iweje?

Picha yoyote ni lazima iwe na madhumuni yake.

Mfano mimi siipendi mibunge ya ccm lakini huwa tunaunganishwa kitaasisi na mwisho wa siku kunakuwa na picha ya pamoja siwezi kuwakwepa.

Kwa kifupi kwangu picha lazima kuwe na sababu, katika watu ambao kamera za kwenye simu hazina kazi mimi ni mmoja wao sina muda wa picha za kijingajinga tu selfie, am too old for that.
 
[emoji106]
 
Kijana mdogo wa miaka 63 Le Mutuz (na yeye pia msanii inapobidi kuwa msanii, mfanyabiashara akiwa na wafanyabiashara bila kusahau mwanasiasa akiwa na DAB)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…