Ni Msanii gani huwezi kuomba kupiga nae picha.

Kiukweli mm mtu maarufu yyte huwa sinaga shobo nao sana kwenye masuala ya kupiga nao picha wala kuwa nao na maongezi ya kumsifu sanaa kwa kazi zake, awe kiongozi wa siasa au mwanamuziki; tuishie kusalimiana kama itabidi na maongezi machache tu! Maana wengi wanajichukuliaga umashuhuri sana, ivyo sinaga shobo nao!
 
Upo kama mimi asee, hivi unaanzaje kumuomba mtu eti tupige picha.. ya nini ? tena unakuta mwanaume analeta shobo kwa mwanaume mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…