ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Hi.
Kuna msemo mmoja huwa ni amazing sana kutamka mdomoni mwako. Unakufanya ujisikie god/godes. Lakini unawasha sana masikioni mwa muambiwaji. Unajenga chuki,unaharibu uhusiano,unavuruga familia,unakimbiza wateja. Ni huu "kama hutaki acha" usipende sana kuutumia.
Kuna msemo mmoja huwa ni amazing sana kutamka mdomoni mwako. Unakufanya ujisikie god/godes. Lakini unawasha sana masikioni mwa muambiwaji. Unajenga chuki,unaharibu uhusiano,unavuruga familia,unakimbiza wateja. Ni huu "kama hutaki acha" usipende sana kuutumia.