ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Nahisi ni ukosefu wa mbinu za kutatua migogoro..wanakatumia kama defense mechanism tu ila kanawasha sana. Ukinijibu hivyo dukani naondoka tu.Alafu msemaji anakuwa kama hajawai kupata shida kabisaaa maishani mwake. Ila kanakera sana hako kasentesi
Naona umejaza kibofu. Shauri yako.Msemo wa Magu huo
Eti "tusichoshane"Mwengne huu "Kwan uko peke yako?"
Duh! Yaani vyovyote sawa tu,ukikaa sikufukuzi ukiondoka sikufuati.[emoji3][emoji16]Au mtu anakuambia utajua mwenyewe.
Hahaaahaaaa......[emoji13] [emoji13] [emoji13]Kuna Muuza nyama alinitusi hivyo hivyo enzi za nyuma kidogo.
"Kama hutaki, nenda zako" akaongeza na mengine.
Hakujua kama nyumbani wanapenda nyama sana na mimi ndiye mtoto pekee niliyekuwa naagizwa.
Nilienda kununua karibia mara kibao kwa jirani yake, ilibidi aanze kunisemesha kwa upole na heshima siku zilizofuata.
Nahisi ilikuwa tabia yake, kila siku nyama zake zilibakia kibao. Naona hata wengine walimsusia.
Mwisho alifunga duka lake.
Kauli njema kwa wateja hupendeza zaidi
Lugha za kshenzi!kama anakupa bure vile,kumbe unanunua.Kuna Muuza nyama alinitusi hivyo hivyo enzi za nyuma kidogo.
"Kama hutaki, nenda zako" akaongeza na mengine.
Hakujua kama nyumbani wanapenda nyama sana na mimi ndiye mtoto pekee niliyekuwa naagizwa.
Nilienda kununua karibia mara kibao kwa jirani yake, ilibidi aanze kunisemesha kwa upole na heshima siku zilizofuata.
Nahisi ilikuwa tabia yake, kila siku nyama zake zilibakia kibao. Naona hata wengine walimsusia.
Mwisho alifunga duka lake.
Kauli njema kwa wateja hupendeza zaidi
Ukimkuta kadata atakujibu hivi..Najua sijaumbwa pekeangu,kuna hata baba/mama yako mfate tu.Sema kama hutak sema
hujaumbwa
pekeako