Ni mtanzania aliyegundua konyagi?

Ni mtanzania aliyegundua konyagi?

mukizahp2

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2012
Posts
705
Reaction score
378
[h=2]Ni mtanzania aliyegundua konyagi?[/h]
wana jf nimesikia kuwa ile pombe maarufu afrika yaani konyagi kuwa aliyeigundua yaani aliyeitengeneza mara ya kwanza ni mtanzania mwenzetu,sasa nataka kujua kuwa serikali yetu ina mpango gani na huyu jamaa,yaani kumuenzi kwa aina fulani,maana nimesikia kuwa kuna msouth afrika anataka kupewa tunzo ya ubunifu huu,​
 
Back
Top Bottom