Ni mtazamo tu "prosecution"

AAQIL

Member
Joined
Feb 26, 2017
Posts
9
Reaction score
3
Mimi sio mtaalamu wa sheria lakini nimeona iko haja ya kuona uwezekano wa kuweka vizuri huu utaratibu/sheria kwamba mwanasheria wa serikali kuwa na jukumu la kuruhusu kupeleka kesi za jinai mahakamani badala ya polisi kama zamani what if mwanasheria yeye mwenyewe amehusika kwenye jinai hiyo? Na ofisi yake ndio inatakiwa kumshughulikia? Nahisi Kuna uwezekano mkubwa haki ikakosekana
Ni mtazamo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…