Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,492
- 2,361
JF pamekuwa mahali pa burudani sana, wengi wetu hata tukiwa na stress huwa tunakimbilia huku. Wabarikiwe wote waliaokuwa sababu ya kuanzisha jukwaa hili.
Baada ya salamu kama wafanyavyo wabunge pale mjengoni sasa niingie kwenye hoja. Hapa JF kuna watu wa tabia au watu wa aina nyingi na hata aina ya comments zao huwa ziko tofauti sana, ila yote kwa yote huwa ni burudani tosha sana. Kuna wakati mimi hufurahia tu kusoma comments za wadau humu, nyingine huwa ni za hoja, vichekesho, mafumbo na hata za kumnanga mwenyikiti wa kijiji chetu.
Binafsi huwa nafurahishwa na utaaluma (utaalamu) wa wanajukwaa katika kutumia lugha hii adhimu kumnanga mwenyekiti wa kijiji chetu. Kuna kautaaluma fulani hivi wadau wanakaweka basi hapo huwa ni burudani tosha. Namkubali sana bwana Njaa, Nyani Ngabu japo tokea akamatwe na corona kapotea, Sky Eclat, Vuta Nikuvute, na yule bibi japo simpendi kidogo maana kazidi mno kuzipamba juhudi, orodha ni ndefu bila kumsahau mzee wa kujivukiza kwa mitishamba aka Mshana Jr
Baada ya salamu kama wafanyavyo wabunge pale mjengoni sasa niingie kwenye hoja. Hapa JF kuna watu wa tabia au watu wa aina nyingi na hata aina ya comments zao huwa ziko tofauti sana, ila yote kwa yote huwa ni burudani tosha sana. Kuna wakati mimi hufurahia tu kusoma comments za wadau humu, nyingine huwa ni za hoja, vichekesho, mafumbo na hata za kumnanga mwenyikiti wa kijiji chetu.
Binafsi huwa nafurahishwa na utaaluma (utaalamu) wa wanajukwaa katika kutumia lugha hii adhimu kumnanga mwenyekiti wa kijiji chetu. Kuna kautaaluma fulani hivi wadau wanakaweka basi hapo huwa ni burudani tosha. Namkubali sana bwana Njaa, Nyani Ngabu japo tokea akamatwe na corona kapotea, Sky Eclat, Vuta Nikuvute, na yule bibi japo simpendi kidogo maana kazidi mno kuzipamba juhudi, orodha ni ndefu bila kumsahau mzee wa kujivukiza kwa mitishamba aka Mshana Jr