Ni muda gani kipimo cha MRI kinakuwa kipo valid?

Ni muda gani kipimo cha MRI kinakuwa kipo valid?

Magehema

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2008
Posts
428
Reaction score
28
Wadau,

Nilifanyiwa kipimo cha MRI mwezi wa July mwaka jana, bahati mbaya Daktari wangu akawa amesafiri kwa dharura, hivyo sikuweza kuonana nae.

Hivi majuzi amerejea na ninatakiwa kuonana nae, je, nitahitaji kufanya kipimo tena au majibu yale yatatoa picha kamili ya tatizo langu licha ya ukweli kwamba imepita miezi kama mitano tangu nilipofanya kipimo na huenda tatizo limeongezeka?

Msaada wenu wadau
 
Back
Top Bottom