Ni muda gani RITA wanachukua kuchakati taarifa zako na kurudisha majibu?

Ni muda gani RITA wanachukua kuchakati taarifa zako na kurudisha majibu?

that-official

Member
Joined
May 17, 2024
Posts
7
Reaction score
5
Habari Wana jamii.

Naomba kuuliza ni mda gani RITA wanachukua kuchakati taarifa zako na kurudisha majibu?

Mfumo wa Sasa upo kitechnology Zaidi, mtu anaeweza kuomba cheti online kwa kutumia simu yake.

Je kama taarifa sio sahihi ni namna gani wanarudisha majibu?

Ni mwezi Sasa unapita toka niombe cheti cha kuzaliwa na taarifa zangu nimekamilisha hadi kulipia control number.

Msaada viongozi ni muda gani inachukua kukamilika?
 
Cheti gani? Maana ukienda ofisini ni baada ya wiki moja tu
 
Muda hautakiwi kuzidi wiki 3 mkuu. Wasiliana nao na utashangaa cheti chako kipo ofisini kitambo kinakusubiri.
 
Mbona huwa kwenye erita unapewa notification kuwa swala lako lipo hatua gani.
 
Back
Top Bottom