Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hello wanajamii.
Kunususru janga la ajira kwa vijana.
Ni kuwa na vyuo kila mkoa/mji.
Vyuo hivi vijengwe kutoa elimu ambayo sio general, bali specific kutokana na rasilimali zilizopo/zinazopatikana kwa wingi kwa sehemu husika.
Kwa mfano, labda Mwanza kunapatikana samaki,vyuo vya uvuvi na biashara ndio vijengwe huko,halikadhalika labda Tanga kunapatikana matunda, elimu juu ya kusindika matunda na kuuza kama biashara itolewe Tanga, n.k
Mimi nahisi pengine tukifanya hivi vijana wataona fursa zilizopo karibu/kwenye miji yao na kubaki huko,
Its high time serikali i tackle unemployment kwa kuangalia resources zilizopo kila mahali,na ku enable vijana ku exploit resources hizo.
KIngine nachoona kila mkoa ujisimamie kimapato na miradi yake, itastimulate creativity/innovation kwenye fursa na changamoto zinazokabili mkoa kama mkoa.
Nimeongea hivi sababu kuna sehemu kama huko Kondoa,Tabora na Kusini mwa Tanzania ni kama kumesahaulika.
Na wakati kuna Asali, Korosho n.k
Pia tunashuhudia ma Fly over, madaraja sijui kwa Mfugale hapa Dareslaam, hujawahi kusikia vitu hivi Mafly over huko mkoani.
With 65% of Tanzanians live in rural areas, its time Infrastructure iwe invested huko, na sio Dar es Salaam(msinipopoe ni ukweli)
Karibuni
Kunususru janga la ajira kwa vijana.
Ni kuwa na vyuo kila mkoa/mji.
Vyuo hivi vijengwe kutoa elimu ambayo sio general, bali specific kutokana na rasilimali zilizopo/zinazopatikana kwa wingi kwa sehemu husika.
Kwa mfano, labda Mwanza kunapatikana samaki,vyuo vya uvuvi na biashara ndio vijengwe huko,halikadhalika labda Tanga kunapatikana matunda, elimu juu ya kusindika matunda na kuuza kama biashara itolewe Tanga, n.k
Mimi nahisi pengine tukifanya hivi vijana wataona fursa zilizopo karibu/kwenye miji yao na kubaki huko,
Its high time serikali i tackle unemployment kwa kuangalia resources zilizopo kila mahali,na ku enable vijana ku exploit resources hizo.
KIngine nachoona kila mkoa ujisimamie kimapato na miradi yake, itastimulate creativity/innovation kwenye fursa na changamoto zinazokabili mkoa kama mkoa.
Nimeongea hivi sababu kuna sehemu kama huko Kondoa,Tabora na Kusini mwa Tanzania ni kama kumesahaulika.
Na wakati kuna Asali, Korosho n.k
Pia tunashuhudia ma Fly over, madaraja sijui kwa Mfugale hapa Dareslaam, hujawahi kusikia vitu hivi Mafly over huko mkoani.
With 65% of Tanzanians live in rural areas, its time Infrastructure iwe invested huko, na sio Dar es Salaam(msinipopoe ni ukweli)
Karibuni