Sasa wewe unachangia hivyo kwakuwa tu UNAE?Ninaye na hata kwa nini siwezi mlelea upuuzi na kusingizia kupitiwa na shetani,
Unajua tatizo kwa upande wetu wadada ni kumpata mtu ukitokea kwenya maumivu ya kuachwa kwa hiyo tunaivaa hata michalii ya ajabu baadae tunaanza kujutia.
hapa kuna umuhimu wa kuwa PARENTAL CONTROL ya thread yetu pendwaMiss ya too gal,
Unajua mm naamini kwenye upana wa ndoa...sex is just part of the package....sasa kama open marriage inamaanisha open sex life then kuna hatari ya kuharibu components nyingine ndani ya package hiyo.
Well......teamo, nitarudi kwa maelezo ya componets...sisi wenye 6+
Members discretion is advisedhapa kuna umuhimu wa kuwa PARENTAL CONTROL ya thread yetu pendwa
Habahaaa! Mpenzi,Ninaye na hata kwa nini siwezi mlelea upuuzi na kusingizia kupitiwa na shetani,
Unajua tatizo kwa upande wetu wadada ni kumpata mtu ukitokea kwenya maumivu ya kuachwa kwa hiyo tunaivaa hata michalii ya ajabu baadae tunaanza kujutia.
Members discretion is advised
Aisee Teamo,
Ulikuwa unawaza nini mpaka ukaanzisha hii sredi?
Manake najaribu kuimajini eti waifu ndo ananiaga anenda kubanjuliwa na mzee wa Boneti!
babu anasema NO kwenye NDOA WAZI!
HahahahahahaUmekosea pasiwedi....tafadhali wasiliana na mlezi wako!
Ukipenda kukagua acha na wewe wakukagulie
ahahahahahahaha!Aisee Teamo,
Ulikuwa unawaza nini mpaka ukaanzisha hii sredi?
Manake najaribu kuimajini eti waifu ndo ananiaga anenda kubanjuliwa na mzee wa Boneti!
babu anasema NO kwenye NDOA WAZI!
And im saying this can be discussed....but when it come to polling....its a NO from me.Aisee Teamo,
Ulikuwa unawaza nini mpaka ukaanzisha hii sredi?
Manake najaribu kuimajini eti waifu ndo ananiaga anenda kubanjuliwa na mzee wa Boneti!
babu anasema NO kwenye NDOA WAZI!
ahahahahahahaha!
wewe kubanjua ni RUXA?(kwa siri lakini)
na yeye kubanjuliwa ni RUXA?(kwa siri lakini)
nipe msimamo wako
hahahahaha!Mkuu hii mada ni nzuri sana, lakini kwangu mimi personal haiwezekani na wala haitowezekana kamwe ni bora tuendelee kudanganyana hivyo hivyo.. Kila mmoja anatoka kiwizi anaenda kumega au kumegwa... Hivi unajisikiaje pale unapojua openly kwamba huyu mwenzangu leo katoka kumegwa, halafua anakuja mnalala wote kitanda kimoja... Na kama alikuwa huru kwenda kumegwa jua jamaa alishughulika sawasawa tofauti na hizi za wizi jamaa anashughulika kwa uoga. Mkuu muda hautofika wa open marriage!!!
Makubwa haya.duuu.Dalili za mwisho wa dunia zinaanza kuonekana.
Naiteua ndoa ya mufalme ya amani iwe pilot open marriage project....ikifanikiwa nitarithisha hili wazo kwa wanangu.....
exactly....lol hapa tunaweza kujadiliana ila kukubaliana ndo itakuwa ngumu....