Ni muda muafaka wa ku-excercise ''open marriages''..?

so far sijaona msimamo comprehensive kuhusu hii thread....
nilijifunza hapa ni KUFANYA KWA SIRI.....!kuwa wasiri sana

Msimamo ni kuwa asilimia 100 ya wajumbe wamepinga ndoa wazi.....

Ila kama mmeshindwa kumwagana mikojo mikubwa, basi mkamwagie huko nje lakini kwa siri....
Hii itasaidia yafuatayo:
1.Ndoa hazitavunjika,
2.Vifo visivyotarajiwa havitakuwepo,
3.Kupunguza matumizi ya vipimo vya DNA - kuhakiki mtoto ni wa nani hasa (bora ulee toto la mtu bila kujua, kuliko kugundua mnayeshea kumwagia mikojo yenu mikubwa, mbegu zake zina nguvu kuliko zako):A S thumbs_down:
4.Utamu wa infidelity utaexist (Infidelity ina raha yake, asikudanganye mtu)
 

Hata mimi nadhani nipo vizuri hivi ambavyo sijui, kujua kunahitaji moyo
 

Kwa kweli hii itahitaji moyo. mi sitaki kabisa.......
 
basi wakuu nimewaelewa....!

SIRI SIRINI
 

Rafiki kweli kabisa, siri ni kitu muhimu sana. Ila ikiwezekana, kwa wadada, tujitahidi tusipitilize mpaka kuleta na watoto nyumbani. mijamaa mingine ina damu kali sana, toto linatoka copyrite, sijui utajificha wapi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Rafiki kweli kabisa, siri ni kitu muhimu sana. Ila ikiwezekana, kwa wadada, tujitahidi tusipitilize mpaka kuleta na watoto nyumbani. mijamaa mingine ina damu kali sana, toto linatoka copyrite, sijui utajificha wapi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Rafiki utalipia bili za matibabu ya mbavu zangu.

Afu ukute jemaa lenyewe ni rafiki yake mumeo, au jirani yenu.
Nakumbuka kuna jamaa lilimpa talaka mkewe kwa kuwa alizaa mtoto zeruzeru, na pale mtaani kulikuwa kuna jamaa mmoja zeruzeru!
 
Thread ako klosdi au?

kwa hiyo tuendelee kucheat, siyo?
 
Thread ako klosdi au?

kwa hiyo tuendelee kucheat, siyo?

Akili za TEAMO, GY, MTM, BIGIRITA, TF, MJ1, FP, KAIZER, HIM ST., MARYTINA, DINA, IKUNDA et al changanya na za kwako....
 
There are currently 40 users browsing this thread. (12 members and 28 guests)

Hahahaha...wachangiaji hawajazidi 20.

Hii inamaanisha nini?

Hizi ndoa ziko taaban!!!
 
Hivi Shato inapaki wapi?

Vruuuuuuuuuuuuuuuuuuummmmmmmmmm!
 
Hahahaha...wachangiaji hawajazidi 20.

Hii inamaanisha nini?

Hizi ndoa ziko taaban!!!
na waliotoa thenks ni watu nane tuu.....!
MWANAMKE MMOJA TU...mj1

ina maanisha nin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…