Sasa mkuu hii biashara ya MAZINGIRA,na WIVU mi nadhani ni kitu ambacho tunaweza kujitune na kukizoea tu
unajua kwa namna tunavyoishi ni sahihi zaidi kama tutakuwa ''formal'',na kajisystem fulani hivi i mean
Rafiki utalipia bili za matibabu ya mbavu zangu.
Afu ukute jemaa lenyewe ni rafiki yake mumeo, au jirani yenu.
Nakumbuka kuna jamaa lilimpa talaka mkewe kwa kuwa alizaa mtoto zeruzeru, na pale mtaani kulikuwa kuna jamaa mmoja zeruzeru!
Babu Mkuu......Huyu ndo Bibi angu|??
Hapana, huyo ni mzazi wa mume wa matesha....sijui ndo bibi mkwe?
hehehehe!
twilumbaaaaa twiluuumbaaaaa UKUGOONAAA NZALAAAAA
naona wapwa zangu MNAPINGA SANA open marriages....!
hahahaha
The Following 2 Users Say Thank You to Asprin For This Useful Post:
Akili za TEAMO, GY, MTM, BIGIRITA, TF, MJ1, FP, KAIZER, HIM ST., MARYTINA, DINA, IKUNDA et al changanya na za kwako....
Babu Mkuu......Huyu ndo Bibi angu|??
Kaizer soma kwenye mistari, siyo between the lines; ha haaaaaaaaaaaaaaa. mimi ni mzazi wa mume wa Matesha, full stop!
Aisee we mamaa la Carmel, thread nyingine huwa hazikuhusu.........
WIKILEAKS wamekukomesha!
hahahahahaha!
mafaili yako nimeletewa hapa mezani kwangu
Ila aisee Roya una mwandiko mzuri aisee....umesema watu wachanganye hizo akili zao na zetu halafu wapate OPEN MERIEJI sio?
Orait orait FP mi wala sijasema kitu:coffee:
Hujambo lakini?
Output inategemea na ujuzi wa mchanganyaji kwenye mambo yahusuyo teamo reaction....