Ni muda muafaka wa ku-excercise ''open marriages''..?

unastahili kuabudiwa......!
unastahili sana tu yesu....!
ni nani kama wewe?........!
HAKUNA KAMA WEWE
 
PHP:
NI MUDA MUAFAKA WA KU-EXCERCISE  ''OPEN MARRIAGES''..?

Hii imekaaje?

Kutambulishwa kanisani si tayari Open!!
 
Sasa mkuu hii biashara ya MAZINGIRA,na WIVU mi nadhani ni kitu ambacho tunaweza kujitune na kukizoea tu
unajua kwa namna tunavyoishi ni sahihi zaidi kama tutakuwa ''formal'',na kajisystem fulani hivi i mean

mbona unaunga mkono mmomonyoko wa maadili??? badala ya kuji-tune na kuzoea
tunatakiwa tuji-tune na kubadilika - issue nzima ni TAMAA ZA MWILI TU AMBAZO HAZIZAI MATUNDA YOYOTE - divorce range za wenzetu (ughaibuni) ziko very high - kuachana ni mambo ya kawaida - lakini sisi bado tuna heshimu ndoa - NDIO WAKO WENGINE WANA-CHEAT - sasa ndio tuhalalishe KUCHEAT na tuite ni NDOA???
kuthibitisha kuwa ni KUCHEAT - ndio maana wengine wanajitahidi kuficha na kufanya siri -
INABIDI TU TUBADILIKE - MUNGU ANAPENDA NDOA IHESHIMIWE NA WATU WOTE NA MALAZI YAWE SAFI - Christian motive - WENZETU MOSLEMS NDIO WAKIAMUA KUFUNGA NDOA YA ZAIDI YA MKE MMOJA - WANAWEKA WAZI NA NADHANI KUNAKUWA NA MAKUBALIANO HAYO

sasa wewe una-base wapi??? kwa Mungu au...........si unaona jogoo hafichi?? kama kuna mitetea zaidi ya mmoja anafanya wazi.... ila naona hata mitetea wanaoneana wivu - in short what you suggest - wont work - think again and be blessed
 
Rafiki utalipia bili za matibabu ya mbavu zangu.

Afu ukute jemaa lenyewe ni rafiki yake mumeo, au jirani yenu.
Nakumbuka kuna jamaa lilimpa talaka mkewe kwa kuwa alizaa mtoto zeruzeru, na pale mtaani kulikuwa kuna jamaa mmoja zeruzeru!

rafiki hayo yanatokea sana, sasa sijui ni kujisahau au vipi.................... angalau nyie wenzetu mambo yanaishia huko huko, siri yako tu kuwa nina mtoto huko nje, sasa huyu wa ndani mmmmmmmmmmmmmm!
 
......Hii nilikuwa sijaiona kabisa hapa.......! aitheee inangenifaa sana hii! Chombo gani sasa kitaregulate maoni ya hii kitu? au tunahitaji ''WHITE PAPER''?
 
......Hii nilikuwa sijaiona kabisa hapa.......! aitheee inangenifaa sana hii! Chombo gani sasa kitaregulate maoni ya hii kitu? au tunahitaji ''WHITE PAPER''?

hehehehe!
twilumbaaaaa twiluuumbaaaaa UKUGOONAAA NZALAAAAA
 
The Following 2 Users Say Thank You to Asprin For This Useful Post:

Fixed Point (Today), Kaizer (Today)


MJ1...umeelewa sasa mamii....(maana ya SIRI)

Kaizer soma kwenye mistari, siyo between the lines; ha haaaaaaaaaaaaaaa. mimi ni mzazi wa mume wa Matesha, full stop!
 
Akili za TEAMO, GY, MTM, BIGIRITA, TF, MJ1, FP, KAIZER, HIM ST., MARYTINA, DINA, IKUNDA et al changanya na za kwako....

Ila aisee Roya una mwandiko mzuri aisee....umesema watu wachanganye hizo akili zao na zetu halafu wapate OPEN MERIEJI sio?
 
Ila aisee Roya una mwandiko mzuri aisee....umesema watu wachanganye hizo akili zao na zetu halafu wapate OPEN MERIEJI sio?

Output inategemea na ujuzi wa mchanganyaji kwenye mambo yahusuyo thermo reaction....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…