jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Kwa maoni yangu Tanzania ya leo inapaswa kuondoka katika fikra za kushabikia ujenzi wa madarasa, vituo vya afya na barabara na badala yake tuwekeze kwenye tafiti na interventions za kistratejia ikiwemo ulinzi na uchumi.
Tuache kuimba mapambio bali tujikite kwenye kuandaa mipango ya muda mrefu ya kujikwamua kiuchumi na kiulinzi dhidi ya mataifa zunguka na mataifa makubwa.
TUJITATHMINI NA KUTAFAKARI KWA KINA.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Tuache kuimba mapambio bali tujikite kwenye kuandaa mipango ya muda mrefu ya kujikwamua kiuchumi na kiulinzi dhidi ya mataifa zunguka na mataifa makubwa.
TUJITATHMINI NA KUTAFAKARI KWA KINA.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!