Ni muda sahihi sasa wa John Bocco kuhamia Yanga

Mr Alpha

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
273
Reaction score
765
Kama Yanga wanahitaji mchezaji wa kuwapa uzoefu kuhusu mbinu za kufanya vizuri kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika basi ni dhahiri huu ni muda muafaka wa kumpa nafasi mwamba John Rafael Bocco kumwaga wino jangwani kuwatumikia kwa uadilifu mkubwa wananchi.

 
Tukiwaa kimya wachauzi Manguli wa soka nyie ndio hua mnakuja na nyuzi zenu za Kilevi.
Aya tumeusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…