Ni muda sasa wa Fiston Mayele kumpisha Makambo au Yusuph Athuman

Ni muda sasa wa Fiston Mayele kumpisha Makambo au Yusuph Athuman

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Nimekuwa shabiki wa Mayele sana lakini kwa wakati huu anazingua. Yanga wanahitaji mshambuliaji mwingine ambaye atachukua nafasi Yanga.

Fiston amekuwa mchoyo sana, pia anashindwa magoli ya wazi sana. Yanga wanatengeneza zaidi ya nafasi tatu mpaka za wazi mechi moja, Mayele amekuwa akitumia moja au anashindwa zote kabisa.

Mimi naamini kama kocha wa Yanga atamtengeneza na kuamini yule dogo Yusuph Athuman anaweza kuwa namba 9 mzuri sana, na pia anaweza kuwa tishio kila siku na angalia marudio ya mechi zake, yupo vizuri au kutengeneza Makambo.

Kwa wanaojua mpira ndiyo watakubaliana na mimi tu.
 
Nimekuwa shabiki wa mayele saana
But for this time anazingua yanga wanahitaji mshambuliaji mwingine ambaye atachukua nafasi yanga
Fiston amekuwa mchoyo saana pia anashindwa magoli ya wazi saana yanga wanatengeneza zaidi ya nafasi tatu mpaka za wazi mechi moja mayele amekuwa akitumia moja au anashindwa zote kabisa

Mimi na amini kama kocha wa yanga atamtengeneza na kuamini yule dogo yusuph Athuman anaweza kuwa namba 9 mzuri saana na pia anaweza kuwa tishio kila siku na cheki mechi replay zake yupo vizuri au kutengeneza makambo

Kwa wanao jua mpira ndo watakubaliana na mimi tu
Mpira mgumu. Ni rahisi kukandia , ingia uone moto
 
Hija nzuri ila braza huyo yusuph athmn hawez lingan n mayele hta siku moja lbda acheze dkika chache sana tena z mwisho
 
Sio sawa hakuna nafasi aliyopata eti unasema hii ni clear

Hata ingekuwepo akina lewa, halland wanakosa nafasi za wazi so wewe ni wa kupuuzwa
 
Hpn mkuu siyo kila kitu unaachambua hyo kazi waachie kina ambagile na Edo na shafi wale ndio Kaz zao
 
Nimekuwa shabiki wa mayele saana
But for this time anazingua yanga wanahitaji mshambuliaji mwingine ambaye atachukua nafasi yanga
Fiston amekuwa mchoyo saana pia anashindwa magoli ya wazi saana yanga wanatengeneza zaidi ya nafasi tatu mpaka za wazi mechi moja mayele amekuwa akitumia moja au anashindwa zote kabisa

Mimi na amini kama kocha wa yanga atamtengeneza na kuamini yule dogo yusuph Athuman anaweza kuwa namba 9 mzuri saana na pia anaweza kuwa tishio kila siku na cheki mechi replay zake yupo vizuri au kutengeneza makambo

Kwa wanao jua mpira ndo watakubaliana na mimi tu
Sikuungi mkono, mayele kuwa na mechi ngumu ni swala la kawaida sana huwezi mcompare kabisa
 
Ongezea hawa:
Djuma
Mwamnyeto
Bangala
Job
Aucho
Biri...
Bila kuwasahau Nabi na Kaze

Listi ya Makupe ni ndefu utopoloni
 
Nimekuwa shabiki wa mayele saana
But for this time anazingua yanga wanahitaji mshambuliaji mwingine ambaye atachukua nafasi yanga
Fiston amekuwa mchoyo saana pia anashindwa magoli ya wazi saana yanga wanatengeneza zaidi ya nafasi tatu mpaka za wazi mechi moja mayele amekuwa akitumia moja au anashindwa zote kabisa

Mimi na amini kama kocha wa yanga atamtengeneza na kuamini yule dogo yusuph Athuman anaweza kuwa namba 9 mzuri saana na pia anaweza kuwa tishio kila siku na cheki mechi replay zake yupo vizuri au kutengeneza makambo

Kwa wanao jua mpira ndo watakubaliana na mimi tu
Kwani ngushi hayupo na kambole
 
Wanasema eti Mayele asingeweza kufunga kwasababu ya beki Onyango.
tehe,,tehe,,,tehe

wanasema ya kwamba Mayele akicheza na Onyango huwa anaona kama anacheza na babake.
tehe,,,

Mayele anakua na kale kaheshma kakuheshimu wazee,,tehe,,
 
Siku iandaliwe mechi ya mashabiki wa timu hizi kuu mbili nicheke mie 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom