Ni muda wa kuomba mungu sisi form six wa mwaka 2012

Ni muda wa kuomba mungu sisi form six wa mwaka 2012

mahmoud abbas

Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
37
Reaction score
6
Ninamshukuru mungu kwa kumaliza mitihani yangu ya kidato cha sita salama wasilimini, ila hofu kubwa niliyokuwa nayo moyoni mwangu ni swala la kuvuja kwa mitihani hii ya kidato cha sita, kwa taarifa nilizosikia kwa mitihani mingi imevuja hasa kwa upande wa mikoa ya dar es salaam,lindi,mtwara na tanga na kwasababu hiyo itatuponza sisi tusiyoipata iyo mitihani iliyovuja(feki)hasa katika swala la usahishaji kutoka na kwamba jamaa wakisikia tu kuwa mitihani imevuja basi chamte makun kipo kwenye usahishaji so namwamba mungu hao wasahishaji wasitubane...naamini mungu ataweka wepesi kwenye hilo
 
Ishi kwa matumaini dogo.

wanatafuta pa kusingizia hawa. Hakuna cha mtihani kuvuja wala nn! Na hawa watoto kutoka kwao sijui aisee,kutwa kucha wako kwenye mitandao kuchat na siyo kusoma,unategemea watafaulu? Mungu awalipe kadri ya mlivyopanda aisee! Hatuumizi akili zetu na kumuongezea Mungu mzigo wa maombi ya watu wasiojishughulisha.
 
Ninamshukuru mungu kwa kumaliza mitihani yangu ya kidato cha sita salama wasilimini, ila hofu kubwa niliyokuwa nayo moyoni mwangu ni swala la kuvuja kwa mitihani hii ya kidato cha sita, kwa taarifa nilizosikia kwa mitihani mingi imevuja hasa kwa upande wa mikoa ya dar es salaam,lindi,mtwara na tanga na kwasababu hiyo itatuponza sisi tusiyoipata iyo mitihani iliyovuja(feki)hasa katika swala la usahishaji kutoka na kwamba jamaa wakisikia tu kuwa mitihani imevuja basi chamte makun kipo kwenye usahishaji so namwamba mungu hao wasahishaji wasitubane...naamini mungu ataweka wepesi kwenye hilo
punguza mawenge, utavuna ulichopanda
 
Utascore ulichoandika... Kuvuja kwa pepa hakubadili majibu sahihi uliyoandika. Upo?
 
siku zote kama unajua unajua tuu! and vice versa.. tena siku zote feki zinasaidiaga o-level lakini A-level sio kiivo b'se mambo mengi ni kujieleza mwenyewe. Mimi nakumbuka kipindi niko form 2 Necta ilivuja kupita kiwango lakini matokeo yake hakuna aliyo tarajia ivyoivyo Necta ya 6 tulipata tetesi kwamba mtihan umevuja ila mimi sikujisumbua nao kabisa lakini mwisho wa siku i scored 1st division!!
 
wanatafuta pa kusingizia hawa. Hakuna cha mtihani kuvuja wala nn! Na hawa watoto kutoka kwao sijui aisee,kutwa kucha wako kwenye mitandao kuchat na siyo kusoma,unategemea watafaulu? Mungu awalipe kadri ya mlivyopanda aisee! Hatuumizi akili zetu na kumuongezea Mungu mzigo wa maombi ya watu wasiojishughulisha.

mzee kuhusu swala la kuchati c lakutulaumu sisi wanafunzi wakulaumiwa ni utandawazi na c wanafunzi
 
siku zote kama unajua unajua tuu! and vice versa.. tena siku zote feki zinasaidiaga o-level lakini A-level sio kiivo b'se mambo mengi ni kujieleza mwenyewe. Mimi nakumbuka kipindi niko form 2 Necta ilivuja kupita kiwango lakini matokeo yake hakuna aliyo tarajia ivyoivyo Necta ya 6 tulipata tetesi kwamba mtihan umevuja ila mimi sikujisumbua nao kabisa lakini mwisho wa siku i scored 1st division!!

big up sana bro
 
mzee kuhusu swala la kuchati c lakutulaumu sisi wanafunzi wakulaumiwa ni utandawazi na c wanafunzi

utandawazi upo tu,panga mambo yako yaendane na ratiba. Siyo masaa zaidi ya 3 uko kuchat tu wakati wenzako wanatafuta notes kwa mutandao.
 
Back
Top Bottom