Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wewe Una shida kichwani! Ulitaka afanyeje? Wewe ulikua wapi? Mbona unataka kuhamisha magoli?Ni vema mbowe ujiuzulu uenyekiti haraka bisha watu wenye uwezo wa kuiongoza chadema na kupigania haki za wanachama ww nenda kalambe asali. You must go!
Over.
Huyu mbowe nimegundua anawafelisha chadema, iko wp ile nguvu ya umma ya chadema ya Dr slaa?Wewe Una shida kichwani! Ulitaka afanyeje? Wewe ulikua wapi? Mbona unataka kuhamisha magoli?
Kuna stuesheni busara haitakiwi hasa cku ile ya msiba angewacha waombolezeji watoe nyongo zao huenda ingekua fundishoNyinyi Ma-Sisiem mnachanganyikiwa?
Hivi hujui kuwa ukiwa kiongozi ni lazima zitokee "situations" ambazo inabidi diplomasia ya hali ya juu itumike, miongoni mwake ni Ile "situation" iliyomkabili Masauni siku Ile!🙄
Wewe ulitakaje?
Ulipenda damu imwagike pale msibani??
Una point usikilizwe sanaHuy
Huyu mbowe nimegundua anawafelisha chadema, iko wp ile nguvu ya umma ya chadema ya Dr slaa?
Wasalaam
Naona huyu kiongozi ameshindwa kuwalinda wanachama wa chadema amekua mpole mno na ni kama anatekeleza maagizo flani flani kutoka ccm ni kama kibaraka wa ccm.
Maana haiwezekani wanachama wanauwawa halafu ww km kiongozi unasimama na kutetea wahusika hebu rejea msiba wa mzee kibao alimtete masaumlni bila haya. Nilitegemea angeitisha nguvu ya umma kupinga udhalimu huu lakini amekua laini mno kiasi inatia mashaka.
Ni vema mbowe ujiuzulu uenyekiti haraka bisha watu wenye uwezo wa kuiongoza chadema na kupigania haki za wanachama ww nenda kalambe asali. You must go!
Over.
Kila kitabu na Zama zake.....tusifosi Mambo, very soon tutapata matokeo mapyaHuy
Huyu mbowe nimegundua anawafelisha chadema, iko wp ile nguvu ya umma ya chadema ya Dr slaa?
Ndo kinachouma
Mbowe huwa anatumia sana lugha laini, mabadiliko ya kweli hayaji kama kuvuta hewa ,kuna wakati diplomasia,inawekwa pembeni,
Wewe hujui unaandika nini, je wewe ni CCM nini?Wasalaam
Naona huyu kiongozi ameshindwa kuwalinda wanachama wa chadema amekua mpole mno na ni kama anatekeleza maagizo flani flani kutoka ccm ni kama kibaraka wa ccm.
Maana haiwezekani wanachama wanauwawa halafu ww km kiongozi unasimama na kutetea wahusika hebu rejea msiba wa mzee kibao alimtete masaumlni bila haya. Nilitegemea angeitisha nguvu ya umma kupinga udhalimu huu lakini amekua laini mno kiasi inatia mashaka.
Ni vema mbowe ujiuzulu uenyekiti haraka bisha watu wenye uwezo wa kuiongoza chadema na kupigania haki za wanachama ww nenda kalambe asali. You must go!
Over.
Hapana imetosha ili kuwe na upinzani imara zaidi ya Leo mh mbowe akae pembeni uenyekiti tu.Wewe hujui unaandika nini, je wewe ni CCM nini?
Mnataka CHADEMA idhoofike sio, hatutaki, mwekeni Samia pembeni.Hapana imetosha ili kuwe na upinzani imara zaidi ya Leo mh mbowe akae pembeni uenyekiti tu.
Mbowe ni pandikizi la ccmNyinyi Ma-Sisiem mnachanganyikiwa?
Hivi hujui kuwa ukiwa kiongozi ni lazima zitokee "situations" ambazo inabidi diplomasia ya hali ya juu itumike, miongoni mwake ni Ile "situation" iliyomkabili Masauni siku Ile!🙄
Wewe ulitakaje?
Ulipenda damu imwagike pale msibani??