Ni muda wa wasanii kuja na mpango wao wa kuhamasisha utalii

Ni muda wa wasanii kuja na mpango wao wa kuhamasisha utalii

Joined
Feb 9, 2021
Posts
6
Reaction score
16
Nimeona Vyombo vya Habari vimekula mapesa kibao huku wasanii wakilialia kuwa hawakupata kitu

Ni muda muafaka waje na mpango wao sio kutegemea wanyonyaji
 
Kwenye upigaji huwezi sikia mtu akikuambia alipata kitu, pesa zenyewe hazina ushahidi wa moja kwa moja.... Acha fedha za Umma ziliwe na Umma..
 
Back
Top Bottom