PROFOUND NOTION
Member
- Nov 3, 2022
- 74
- 146
Habarini wakuu,
Ni financial institution ipi naweza kuweka pesa 1.2m kwa mwezi kwa muda wa miaka mitano bila ya kuitoa. Namaanisha credibility nzuri bila uzinguaji na wenye riba nzuri sana ambayo itapelekea mimi kupata faida niki withdrawal after 5 years.
Ni financial institution ipi naweza kuweka pesa 1.2m kwa mwezi kwa muda wa miaka mitano bila ya kuitoa. Namaanisha credibility nzuri bila uzinguaji na wenye riba nzuri sana ambayo itapelekea mimi kupata faida niki withdrawal after 5 years.