Ni muhimu mwanamke kujikubali na mwili wake hata awe plus size au slim

Ni muhimu mwanamke kujikubali na mwili wake hata awe plus size au slim

MumbaZ

Senior Member
Joined
Jan 28, 2018
Posts
133
Reaction score
124
Wanawake wanapata tabu sana kujikubali miili yao mpaka kuingia katika vishawishi vya kutumia dawa za kichina au kwa wenzetu nchi zilizoendelea kama marekani hufanyiwa operesheni au surgery kutengeneza mwili kwa mfano kuongeza makalio au kupunguza minyama uzembe.

Wanasahau kitu kimoja binaadamu yeyote yule wanaume kwa wanawake mazoezi na milo ya afya ni muhimu sana. kwa kuzingatia hivi vitu vyote kuhusu mwili wako vitakuwa sawa.

ila kwa mimi mpenda fashion naona kuna wanawake au warembo wanajitahidi na body positivity. yaani kujiamini na mwili wako kwa mfano Sanchoka a.k.a sanchiworld anavyojivunia na hata ex wa nay wa mitego SKNER. japo nasikia kunasifa zengine nisizozielewa kuwa anafanya.

Sanchoka


Skyner
 
Wengi sana hatujiamini na miili yetu. Tunafikiri miili ya wadada wazuri tunaowaona kwenye mitandao ndo iko perfect kiasi hicho. Kama Sanchi ana cellulite kama mimi tu ila kwenye picha anaonekana ngozi nyororooo. Watu wakiona hivyo wanapanic balaa wanaona miili yao mibaya ndo wengine wanago for surgery au mchina.
 
kweli kabisa madame S
Na ile kujitambua inatosha kabisa, uongeze makalio sababu ya kuimpress mtu au mwanaume alieko nae n ujinga kama sina makalio ya kukuvutia sina siwez kujiumiza baadae kwa kukufanya unipende kwa kitu hiko
 
Wanawake na wasichana wanatakiwa wapewe Sana somo la body positivity
 
Wengi sana hatujiamini na miili yetu. Tunafikiri miili ya wadada wazuri tunaowaona kwenye mitandao ndo iko perfect kiasi hicho. Kama Sanchi ana cellulite kama mimi tu ila kwenye picha anaonekana ngozi nyororooo. Watu wakiona hivyo wanapanic balaa wanaona miili yao mibaya ndo wengine wanago for surgery au mchina.
looooh
 
ujue mnatusababishia wenye tuitamani anus, embu ona hilo sanchoka
 
Unapowashauri wajikubali Miili yao unajumuisha na nywele zao za asili? Manake hizo picha ulizoweka wote wamevaa utapiamlo kichwani.
 
Na ile kujitambua inatosha kabisa, uongeze makalio sababu ya kuimpress mtu au mwanaume alieko nae n ujinga kama sina makalio ya kukuvutia sina siwez kujiumiza baadae kwa kukufanya unipende kwa kitu hiko
Ni kweli...unaweza ukayapata na ukaachwa pia! Hicho ni kivutio tu sio mapenzi! Akina wema,skyner wasingeachwa bas
 
Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Anajiamini kuliko mwenye Degree, Msiwadanganye Hawa, Usifanye Mchezo Na Kuvutia, Kuvutia Ni Muhimu, Nyinyi Ni Maua Yetu, Lazima Mtuvutiee! Sasa Nyinyi Endeleeni na Mambo ya Kujikubali Tu [emoji23]
 
Hakuna kitu kinanikera kama Plus Size Model halafu aingie gym kujipunguza au aanze diet sijui,jamani wengine hiyo minyama nyama ndo ugonjwa wetu
 
Back
Top Bottom