Ni mwaka mpya ni mwaka wako wa kufanikiwa.. Jiandae usibweteke

Ni mwaka mpya ni mwaka wako wa kufanikiwa.. Jiandae usibweteke

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤
1737597428294.jpg
 
Msidamganyike enyi watu.

Miaka ni namba tu, mwaka mpya ni moment ya kufikirika.

Ukata utakufika kila mwaka wala haubadiriki sura ikifika 1st january wala unafuu hauji baada ya 31st december, wala upya wa mambo hauji tarehe yoyote ile

Cha msingi ni kuwa active muda wowote katika kufanya kazi, kuwa informed na kuwa innovated.
 
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤View attachment 3210751
Kudoz Masta..
 
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤View attachment 3210751
Na iwe hivi
 
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤View attachment 3210751
Uzi mtamu huu, umenipa energy kubwa sana. Nimesoma na kurudia na kurudia na kila nikisoma akili inafunguka. Barikiwa Mtumishi wa Bwana
 
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤View attachment 3210751
Asante sana kwa uzi mzuri wenye kuinua morali za watu wote.
 
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤View attachment 3210751
Amina
 
Mkuu tupe na mbinu za kutoboa mwaka huu, unaona ni biashara gani zitatutoa? Fursa je?
Maana wewe ni mtu wa rohoni so una maono ya mbali ati.
Ni mwaka wa uchaguzi mkuu.. Fursa ni nyingi na zipo kila kona.. Biasharq za uzalishaji binafsi chochote kile inalipa zaidi
 
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤View attachment 3210751
Asante umenikumbusha kitu kizuri
 
Ubarikiwe sa
Msidamganyike enyi watu.

Miaka ni namba tu, mwaka mpya ni moment ya kufikirika.

Ukata utakufika kila mwaka wala haubadiriki sura ikifika 1st january wala unafuu hauji baada ya 31st december, wala upya wa mambo hauji tarehe yoyote ile

Cha msingi ni kuwa active muda wowote katika kufanya kazi, kuwa informed na kuwa innovated.
Basi
Ni makosa kufikiria muda unakwenda.
Muda hauendi. Muda upo mpaka utimilifu wa dahari

Wewe ndiye unayeenda.
Huupotezi muda. Muda hauna mwisho. Unajipoteza mwenyewe.maana una mwisho wako
Ni wewe unazeeka na kufa. Muda haufi. Kwa hivyo jitumie vyema kabla ya muda wako kuisha.

Na mojawapo ya mambo mabaya zaidi ya kufanya na wakati ni kujilinganisha na wengine.
Ng'ombe hula nyasi na kunenepa lakini mbwa akila majani atakufa. Kamwe usijilinganishe na wengine. Ishi maisha yako

Kinachofaa kwa mtu mwingine kinaweza kuwa ndicho kitakachokuua. Zingatia karama na talanta ambazo Mungu alikupa na usiwe na wivu kwa baraka alizowapa wengine...

Wote Simba na papa ni wawindaji wa kitaalamu na ni wawindaji hodari, lakini
Simba hawezi kuwinda Baharini na Papa hawezi kuwinda msituni...
Kwamba Simba hawezi kuwinda baharini haimfanyi kuwa mnyama asiyefaa Kwa uwindaji na kwamba papa hawezi kuwinda msituni pia haimfanyi kuwa mnyama kwa uwindaji asiyefaa... wote wawili wana eneo lao ambapo wanaweza kufanya vizuri.
Pamoja na kuwa UA rose lina harufu nzuri zaidi kuliko nyanya, haimaanishi kuwa inaweza kufaa kutengeneza mboga...
Usijaribu kujilinganisha na wengine.
Wewe pia una nguvu zako mwenyewe, jitafute na ujenge juu ya nguvu zako na uwezo wako mwenyewe
Wanyama wote waliopo leo.. Kwa mujibu wa maandiko matakatifu walikuwa ndani ya safina ya Nuhu. Konokono ni mmoja wa wanyama hao. Ikiwa Mungu aliweza kusubiri kwa muda wa kutosha kwa konokono kuingia katika safina ya Nuhu; Mlango wake wa neema hautafungwa kwako hadi ufikie nafasi unayotarajia maishani.
Usijidharau kamwe, endelea kutarajia baraka zako.. Maana haziko mbali sasa.. Na huu ni wakati wako wa kutabasamu tena!

Kumbuka kwamba Mungu hawahi wala hachelewi bali hujibu maombi yote kwa wakati sahihi huwezi kamwe kujua jinsi ulivyo karibu na lengo lako.

Heri ya mwaka mpya wewe utakayebarikiwa kusoma uzi huu..
NAKUOMBEA
Mshana Jr
Future pastor❤View attachment 3210751
Ubarikiwe sana mtu wa mungu,, huu ujumbe unarejesha tumaini ndani ya mioyo yetu iliyopondeka🙏🙏
 
Back
Top Bottom