Ni mwaka wa 6 sasa tangu nioe, lakini jinsi nilivyompata huyu mke imebaki ni kichekesho kwangu

Kama nakufahamu vile, ila uilchomfanyia sister sio poa kabsa, na umekosea kumuanika hapa, kumbe ndo uko hivi! hakuna mwanaume makini mwenye tabia kama zako
 
Kama nakufahamu vile, ila uilchomfanyia sister sio poa kabsa, na umekosea kumuanika hapa, kumbe ndo uko hivi! hakuna mwanaume makini mwenye tabia kama zako
hahaha yupi huyo mkuu
 
Mzee baba naona unafyatua tu watoto. Yaani 7 Years watoto watatu. Hongera bhana.
 
hahahahah anataka nimuoe awe mke wa pili mkuu
Huyo ukimfanya kuwa mke wa pili. Hautaishi kwa amani mpaka miaka yako ya kuishi duniani inafika kwasababu
1. Bado ana kisasi na wewe, kwanini ulimuoa rafiki yake?
2. Bado ana kisasi na mke wako. Kwanini alimnyang'anya mume wake?
3. Bado ana kisasi na watoto wako. Pindi atakapokutana nao, chuki inazidi kwa hao watoto.
Huyo ni msosi wa ziada tu. Wife akiwa na mimba au anaumwa. Unaenda kutolea sumu kwa huyu manzi. Ukimuoa huyo mwanamke utakuwa na watoto 5. Hongera sana. Buy one, get two free
 
Naona ulichofanya ni kizuri sana kwa wale wanaringia nafasi.
Ukizingatia ulikuwa na uhitaji wa kuoa alafu mtu mwenyewe anaringa!
 
Naona ulichofanya ni kizuri sana kwa wale wanaringia nafasi.
Ukizingatia ulikuwa na uhitaji wa kuoa alafu mtu mwenyewe anaringa!
alizingua mda ushamtupa mkono anachezewa tu anaachwa
 
hahah hata siku moja siwezi kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…