Ni mwaka wa 6 sasa tangu nioe, lakini jinsi nilivyompata huyu mke imebaki ni kichekesho kwangu

Naomba kujua kuwa huyo mkeo aliyekuwa rafiki wa mpenzi wako huwa wanawasiliana au ndo bhasi tena wapo kwe ugomvi?
mwanzoni walikuwa wanawasiliana maana hakujua kama mimi ndiye niliyeoa rafiki yake, alipofahamu tu ikawa kama paka na panya
 
mi sitii neno..maana mtu ataona humu.ila amini kwamba ukiwa na mademu wengi unakua dillema uache yupi uoe yupi..maana unaeza sababisha vita ya tatu ya dunia...au mwingine yuko kwa mwamposa anaomba umuoe..mwingine yuko mlima wa moto kaachia upepo wa kisulisuli ukufuate...mbna balaaa kubwaa
 
Duuuuuuuuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…