x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
amani
iwe nanyi ndugu zangu,namleta kwenu kijana mwingine wa miaka 24 yeye ni
mwl. wa s/m mwl.huyu anatamani kuingia kwny ujasiriamali kutokana na
kipato kidogo,mazingira magumu na adha kibao zilizopo kwenye kazi
husika.
Mtaji anao wa kutosha pia analo wazo la biashara na mahali pa kufanyia
biashara hyo amepapata
Jamaa anasua kuacha kazi kutokana kila anapo fikiria namna wanafunzi na
wajamii wanavyo mpenda,mwamini na jinsi alivyo kuwa muhimu kwa elimu ya
wanafunzi hao walio toka ktk jamii maskini roho inamuuma sana ingawa
yeye mwenyewe hajui nini future yake kutokana na kipato kidogo
anachokipata, maoni yako tafadhali.
iwe nanyi ndugu zangu,namleta kwenu kijana mwingine wa miaka 24 yeye ni
mwl. wa s/m mwl.huyu anatamani kuingia kwny ujasiriamali kutokana na
kipato kidogo,mazingira magumu na adha kibao zilizopo kwenye kazi
husika.
Mtaji anao wa kutosha pia analo wazo la biashara na mahali pa kufanyia
biashara hyo amepapata
Jamaa anasua kuacha kazi kutokana kila anapo fikiria namna wanafunzi na
wajamii wanavyo mpenda,mwamini na jinsi alivyo kuwa muhimu kwa elimu ya
wanafunzi hao walio toka ktk jamii maskini roho inamuuma sana ingawa
yeye mwenyewe hajui nini future yake kutokana na kipato kidogo
anachokipata, maoni yako tafadhali.