Ni mwanaccm gani anayetaka kununua Nafasi ya Mgombea Urais Chadema 2025? Vita ni Kali sana!

Ni mwanaccm gani anayetaka kununua Nafasi ya Mgombea Urais Chadema 2025? Vita ni Kali sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Unaweza usielewe sasa Lakini Tundu Lisu anaondolewa Chadema Ili asiweze kuzuia biashara ya KITI Cha mgombea Urais kama alivyofanya 2020 kuzuia bilionea Nyalandu

Je, ni mwanaccm gani huyo anayesubiriwa Chadema ikidaiwa ana Baraka za nchi mbalimbali duniani

RA ataruhusu mwanaccm mwingine apingane na Rais Samia katikati ya Mihula?

Ngoja tuone

Nawatakia Dominica ya Kwanza 2025 yenye Baraka 🌹
 
Back
Top Bottom