Ni mwanafunzi gani ambaye ulisoma naye shule moja ambaye hutakuja kumsahau kutokana na vituko au ukorofi aliokuwa nao

Maulaga59

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
2,984
Reaction score
2,971
Haya jamani, tujikumbushe kila mmoja wetu, mwanafunzi aliyesoma naye ambaye kwa ukorofi, vituko na kadhalika hutakuja kumsahau, ambaye hata walimu na jumuiya nzima ya shule walimnyoshea mikono kwa usugu wake lakini darasani alikuwa kipanga!
 
Mimi hapa wengi hawatonisahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…