KIBURUDISHO JF-Expert Member Joined Mar 28, 2011 Posts 1,002 Reaction score 277 Jun 17, 2011 #1 Eti kati ya mwanamke na mwanaume walio ndani ya ndoa ni yupi akiwa na mpenzi nje ya ndoa (hawara) huwa anakuwa na dharau sana ndani ya nyumba na kwanini??????????
Eti kati ya mwanamke na mwanaume walio ndani ya ndoa ni yupi akiwa na mpenzi nje ya ndoa (hawara) huwa anakuwa na dharau sana ndani ya nyumba na kwanini??????????
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,282 Reaction score 117,244 Jun 17, 2011 #2 when a woman is fed up.......
Dr.Chichi JF-Expert Member Joined Apr 30, 2008 Posts 2,393 Reaction score 632 Jun 17, 2011 #3 Sina uhakika sana ila naona mara nyingi mdada huwa na dharau
LOOOK JF-Expert Member Joined May 17, 2011 Posts 3,389 Reaction score 674 Jun 17, 2011 #4 duuuuuuuuuuuu!!! haluuuuuuuuuu mdada ni nouma!!yani sina hata hamu LOL!