lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
wakuu bongo kuna majembe ma 4 tu katika bongo fleva nayo ni K4REAL, JUMA NATURE,JIDE KOMANDOO NA SUGU,haya majembe ni nouma hatari yanajulikana usipimie yaani jamaa ukamua mbaya mbovu jukwaani. je kwa sasa kuna mwanamziki yoyote anaweza kupanda jukwaa moja na hawa wanajeshi wa ukweli?
Teh Teh mkuu umerudi kutoka honey moon?
BADILI TABIA alikuletea zawadi yangu?
Teh Teh mkuu umerudi kutoka honey moon?
BADILI TABIA alikuletea zawadi yangu?
dah uchokozi huo ngoja lemtumboz aje
wakuu bongo kuna majembe ma 4 tu katika bongo fleva nayo ni K4REAL, JUMA NATURE,JIDE KOMANDOO NA SUGU,haya majembe ni nouma hatari yanajulikana usipimie yaani jamaa ukamua mbaya mbovu jukwaani. je kwa sasa kuna mwanamziki yoyote anaweza kupanda jukwaa moja na hawa wanajeshi wa ukweli?
mkuu tatizo lako naona bado linakusumbuaa nakushauri muone dokta mapema
khabari za fungate sakafu.
mkuu ilikua poa sana
Kwa mara ya kwanza nakupa hongera kwa kuweza kuweka wasanii wa kiwango kinachofanana, ole wako ungemjumuisha msanii ambaye ni dili kwa vyombo vya habari ni dili kwa watu wa matangazo ni dili kwa waandaaji wa matamasha lakini pia ni njia ya mkato kwa msanii andagraundi kutumia jina lake ili atokewakuu bongo kuna majembe ma 4 tu katika bongo fleva nayo ni K4REAL, JUMA NATURE,JIDE KOMANDOO NA SUGU,haya majembe ni nouma hatari yanajulikana usipimie yaani jamaa ukamua mbaya mbovu jukwaani. je kwa sasa kuna mwanamziki yoyote anaweza kupanda jukwaa moja na hawa wanajeshi wa ukweli?
Khabari za fungate sakafu.
Kwa mara ya kwanza nakupa hongera kwa kuweza kuweka wasanii wa kiwango kinachofanana, ole wako ungemjumuisha msanii ambaye ni dili kwa vyombo vya habari ni dili kwa watu wa matangazo ni dili kwa waandaaji wa matamasha lakini pia ni njia ya mkato kwa msanii andagraundi kutumia jina lake ili atoke
Kwa mara ya kwanza nakupa hongera kwa kuweza kuweka wasanii wa kiwango kinachofanana, ole wako ungemjumuisha msanii ambaye ni dili kwa vyombo vya habari ni dili kwa watu wa matangazo ni dili kwa waandaaji wa matamasha lakini pia ni njia ya mkato kwa msanii andagraundi kutumia jina lake ili atoke