Ni mwendo wa mikataba tu, hutaki yeyaa

Babu huyo amechelewa wahuni washafanya yao kwangu😂
Andaa jina la mjukuu
Mbona ghafla hivyo Mjukuu, au ndiyo maana nilikuta kwenye friji umeweka udongo ambao ulikuwa unaulamba Kila Siku 😜🙌

Kweli Vijana wa hovyo hawafai 🤗
 
Mbona ghafla hivyo Mjukuu, au ndiyo maana nilikuta kwenye friji umeweka udongo ambao ulikuwa unaulamba Kila Siku 😜🙌

Kweli Vijana wa hovyo hawafai 🤗
Leo usiku nimeota natapika😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…