Mbona ghafla hivyo Mjukuu, au ndiyo maana nilikuta kwenye friji umeweka udongo ambao ulikuwa unaulamba Kila Siku 😜🙌Babu huyo amechelewa wahuni washafanya yao kwangu😂
Andaa jina la mjukuu
Leo usiku nimeota natapika😂Mbona ghafla hivyo Mjukuu, au ndiyo maana nilikuta kwenye friji umeweka udongo ambao ulikuwa unaulamba Kila Siku 😜🙌
Kweli Vijana wa hovyo hawafai 🤗
Babu hilo lisikupe tabu kabisa ,nasomesha yeye na mwanae😁Mbona ghafla hivyo Mjukuu, au ndiyo maana nilikuta kwenye friji umeweka udongo ambao ulikuwa unaulamba Kila Siku 😜🙌
Kweli Vijana wa hovyo hawafai 🤗
😂ukiachwa hasira zake usije kuniulia mtoto wangu🙌Babu hilo lisikupe tabu kabisa ,nasomesha yeye na mwanae😁
😁 Niue halafu hizi pombe nimwachie nan😜😂ukiachwa hasira zake usije kuniulia mtoto wangu🙌
Basi wewe unafaa☺️😁 Niue halafu hizi pombe nimwachie nan😜
Hapo safiBabu hilo lisikupe tabu kabisa ,nasomesha yeye na mwanae😁
Basi wewe unafaa☺️
Babu eti ,umesikia huko mimi nafaa🤗Hapo safi
Wewe nae hutaniwi..!🙄Babu eti ,umesikia huko mimi nafaa🤗
Mdogo ila inapita 🤔 panya buku wewe.Babu! Nafikiria nini maana ya hii ndoto🤔
Mimi mbona bado mdogo😂
Sasa utamu mnataka mfaidi wenyewe🙄Mdogo ila inapita 🤔 panya buku wewe.
Ikishapita tu achana na habari ya udogo 😁Sasa utamu mnataka mfaidi wenyewe🙄
Ina naana hauoni simu inaita?Kama una hela za mawazo usisomeshe mtoto wa mtu.....
Subiri kidogo nitakupigia nna maongezi mazito na mganga wangu, ntakupigia ntakupigiaaa......Ina naana hauoni simu inaita?
Uchoyo huo 😅
Ina maana umeamua kunikoregea kwenye pichu kabisa mama pendoo🤔Subiri kidogo nitakupigia nna maongezi mazito na mganga wangu, ntakupigia ntakupigiaaa......
😹😹😹Ina maana umeamua kunikoregea kwenye pichu kabisa mama pendoo🤔