Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Mwisho wa mwezi ama mwanzo wa mwezi baada ya kulipwa mshahara. Kwani wewe ulitakaje?Habarini za muda, kwa wajuzi wa kujenga ni kipindi au muda mwezi gani hali ya hewa ni nzuri kufanya ujenzi (January, February, March, April, may, June, July, August, September, October, November, December)
Karibuni kwa mtazamo wenu.
Location ni Dar es Salaam
Hio nakubaliana nawe kabisa. Jua kali ni baya sana kwa simenti.Sijaongelea utegemee mvua kunyeshea ukuta ili upate uimara.
Nimeongelea siment haiwi exposed na mwanga wa jua.
Maana mwanga wa jua unasababisha Sana nyufa na kupunguza uimara wa simenti.
Ukuta unaokauka kivulini unakua imara zaidi kuliko ukuta unaokauka juani.
Binafsi nimejenga sana. Misimu yote ya mwaka. Suala la maji tunamwagilia zaidi hata ya mara nne kwa siku kwa wiki ya kwanza nzima. Baada ya hapo frequency inapungua hadi mara mbili kwa siku. Mafundi nawalipa kwa day, kwa hio mvua zikinyesha huwa inaharibu mfumo sababu mara nyingi wanasimama na kazi haiendi. Pia zege linaharibika au inabidi kifunika kila siku mara tu baada ya kulifanya. Mawe yanatoka sehemu ambazo mafuso hayawezi pita wakati wa mvua. Kwa arusha lakini. Pia matofali ya kuchoma, huwa yanapanda bei sana wakati wa mvua. Nina uzoefu sana, kwa hio usijaribu kuninyamazisha sababu mie siendani na ww.Ansante mkuu watu wanasikia cement inahitaji kumwagilia sana basi wanaona mvua ndokiboko yani mtu ujenge nyumba halafu gharama zakunyeshea zikusumbue nafikiri kama kitu hukijui bora ukatulia ili ujifunze nikweli kunafaida wakati lakin hasara nikubwa zaidi
Lakini majengo nimejenga suala la jua tunalimudu kwa kumwagilia maji mara nyingi kwa siku. Angalia hio post hapo juu nimemjibu member mwingine.. utagundua advantage ya masika ni hilo moja tu. Suala la umwagiliaji. Ambalo linawezekana kutatulika bila shidaSijaongelea utegemee mvua kunyeshea ukuta ili upate uimara.
Nimeongelea siment haiwi exposed na mwanga wa jua.
Maana mwanga wa jua unasababisha Sana nyufa na kupunguza uimara wa simenti.
Ukuta unaokauka kivulini unakua imara zaidi kuliko ukuta unaokauka juani.
Swali kuhusu process ya kukusanya mchanga. Wakati mvua zinanyesha za masika ndio mchanga unakusanywa kwa urahisi zaidi au baada ya mvua kuisha?Hapana mkuu,
Wkt wa mvua Ni rahisi zaidi maana mabondeni mchanga unakua mwingi sana sababu ya kukokotwa na mvua.
Maji unatumia ya mvua.
Na plasta inabidi ipigwe BAADA YA KUPAUA. Hapo mvua haina effect na wala haisaidii kitu.Naongelea siment ya kujengea na kupiga plasta(lipu)
Suala moja tu la kumwagilia ndio watu mmelikalia sana? Suala ambalo linatatulika kiurahisi? Na ukishapaua plasta zinamwagiliwa na mvua? HAPANA. Na INATAKIWA UMWAGIE HATA MARA NNE AU ZAIDI SIKU ZA KWANZA. Mvua haina ratiba maalum. Bado utamwagilia tu hata kama mvua inanyesha.Ansante mkuu watu wanasikia cement inahitaji kumwagilia sana basi wanaona mvua ndokiboko yani mtu ujenge nyumba halafu gharama zakunyeshea zikusumbue nafikiri kama kitu hukijui bora ukatulia ili ujifunze nikweli kunafaida wakati lakin hasara nikubwa zaidi
Umeenda mbali mkuu humu tunaelimishana tuBinafsi nimejenga sana. Misimu yote ya mwaka. Suala la maji tunamwagilia zaidi hata ya mara nne kwa siku kwa wiki ya kwanza nzima. Baada ya hapo frequency inapungua hadi mara mbili kwa siku. Mafundi nawalipa kwa day, kwa hio mvua zikinyesha huwa inaharibu mfumo sababu mara nyingi wanasimama na kazi haiendi. Pia zege linaharibika au inabidi kifunika kila siku mara tu baada ya kulifanya. Mawe yanatoka sehemu ambazo mafuso hayawezi pita wakati wa mvua. Kwa arusha lakini. Pia matofali ya kuchoma, huwa yanapanda bei sana wakati wa mvua. Nina uzoefu sana, kwa hio usijaribu kuninyamazisha sababu mie siendani na ww.
Samahani mkuu kama mchango wangu umekukwaza lakini ukisoma vizuri utagundua mm naww tunaongea kitu kimoja labda kwavile nimeandika kwaufupi naww umefafanua sanaUmeenda mbali mkuu humu tunaelimishana tu
Basi usingejibu kwa madharau ili ujifunze.Umeenda mbali mkuu humu tunaelimishana tu
Sawa siku njema kwakoSamahani mkuu kama mchango wangu umekukwaza lakini ukisoma vizuri utagundua mm naww tunaongea kitu kimoja labda kwavile nimeandika kwaufupi naww umefafanua sana
Sina sababu yakumdharau mtu yeyeto hum wala mm sio waaina hiyo sikumbuki kama nimewahi kumdharau mtu popote mm sijaelewa hii imekujaje mbona nimeanza kushukuru kwamchango wako mzuri basi ndugu nisamehe tu yaisheBasi usingejibu kwa madharau ili ujifunze.
Ansante kwako pia uwe naamani kakaSawa siku njema kwako