Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 893
- 1,021
USIKATE TAMAA
Hakuna kitu kibaya kwa maisha ya mwanadamu kama kukata tamaa.
Mtu aliyekata tamaa humtengenezea shetani kuwa makao yake.
Haijalishi ni kipi umepitia usikate tamaaa.
Ni dhambi yoyote umefanya usikate tamaa hakika Mungu husamehe dhambi zote
Amka sasa tuanze upya bila kukata tamaa
وَلَا تَيْأَسُوا مِن رَّوْحِ اللَّهِ ۖ إِنَّهُ لَا يَيْأَسُ مِن رَّوْحِ اللَّهِ إِلَّا الْقَوْمُ الْكَافِرُونَ
“Wala msikate tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika hawakati tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu isipokuwa watu makafiri.”
يَا عِبَادِيَ الَّذِينَ أَسْرَفُوا عَلَىٰ أَنفُسِهِمْ لَا تَقْنَطُوا مِن رَّحْمَةِ اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ يَغْفِرُ الذُّنُوبَ جَمِيعًا ۚ إِنَّهُ هُوَ الْغَفُورُ الرَّحِيمُ
“Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu, msikate tamaa na rehema za Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu.”
✍️Abuuabdillah
0744883353
Hakuna kitu kibaya kwa maisha ya mwanadamu kama kukata tamaa.
Mtu aliyekata tamaa humtengenezea shetani kuwa makao yake.
Haijalishi ni kipi umepitia usikate tamaaa.
Ni dhambi yoyote umefanya usikate tamaa hakika Mungu husamehe dhambi zote
Amka sasa tuanze upya bila kukata tamaa
وَلَا تَيْأَسُوا مِن رَّوْحِ اللَّهِ ۖ إِنَّهُ لَا يَيْأَسُ مِن رَّوْحِ اللَّهِ إِلَّا الْقَوْمُ الْكَافِرُونَ
“Wala msikate tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Hakika hawakati tamaa na rehema ya Mwenyezi Mungu isipokuwa watu makafiri.”
يَا عِبَادِيَ الَّذِينَ أَسْرَفُوا عَلَىٰ أَنفُسِهِمْ لَا تَقْنَطُوا مِن رَّحْمَةِ اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ يَغْفِرُ الذُّنُوبَ جَمِيعًا ۚ إِنَّهُ هُوَ الْغَفُورُ الرَّحِيمُ
“Enyi waja wangu mliojidhulumu nafsi zenu, msikate tamaa na rehema za Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe, Mwenye kurehemu.”
✍️Abuuabdillah
0744883353