Ni namna gani naweza kumripoti dereva aliyeniletea dharau kisa mimi ni mtembea kwa miguu? Amenikosakosa leo maeneo ya Mwenge mpakani

Ni namna gani naweza kumripoti dereva aliyeniletea dharau kisa mimi ni mtembea kwa miguu? Amenikosakosa leo maeneo ya Mwenge mpakani

PopoMlalafi

Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
61
Reaction score
76
Haraka za huyu mtu mzima zasababisha miguu yangu ikoswekoswe

IMG_20211123_151823.jpg
 
Hauna jinsi wakati wa Magufuli ulikuwa na haki angalau kwa Lissi fulani na Polisi wangekupigania angalau ungekuwa na pa kwenda, sasa hivi Rais mwenyewe anawakataza Polisi wa barabarani kufanya kazi yao, anataka wanyenyekee wenye magari kama hao waliokugonga na kuendelea na safari!
 
Vizia akiwa amepaki, piga kisu matairi yote manne na uvunje kioo cha mbele chote. Mwachie ujumbe aache kudharau watembea kwa miguu.
 
Back
Top Bottom