PopoMlalafi
Member
- Nov 5, 2021
- 61
- 76
Hahaha nakuelewa mkuuTafuta pesa wewe
Hahaha acha tu MkuuBasi hapo na hicho kitoroli chake anaona kayapatiaaaaaaaaaaaaaaa
Utasikia babako analo!
Neno! Ila mjini sihamiHamia Kijijini mkuu,
Mjini utashitaki wangapi?
Jaribu tu kua makini unapotembea Barabarani,watu siku hizi wanaendesha magari huku wanachezea simu.
Asante sanaPole mkuu
Nilikuwa naomba tu kuuliza, hizo dharau zote kakufanyia akiwa anaendesha hyo starlet au gari ishapita hapo?
Hahahahahaha umetishaAlitaka kukuongezea dhiki wakati una dhiki
Ni huo mkebe mkuu[emoji1787][emoji23]nlikuwa naomba tu kuuliza
hizo dharau zote kakufanyia akiwa anaendesha hyo starlet au gari ishapita hapo?
Tutatengeneza umoja wetu mkuu[emoji1666]duh, mwana jF wa kwanza kabisa ambaye hana gari, akifuatiwa na mimi