Ni namna gani naweza weka vihifadhi(preservative) kwenye mtindi ili usiharibike haraka

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,312
Reaction score
3,345
Habari wakuu,
Wakuu mi nahitaji nigandishe mtindi kwa njia zakawaida kabisa nyumbani kwani sina uwezo wakuwa na kiwanda.
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ninaomba kufahamu kwa wajuzi wa hili ni hatua zipi napaswa kufuata au nifanye nini ili niweze kuchanganya vihifadhi kwenye mtindi ili uweze kukaa muda merefu bila yakuharibika?
Lengo ni kuweka kwenye vifungashio na kuuza
 
Mode naomba niweekee alama yakuuliza hapo kwenye heading kama hutajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…