Niliwahi kum unfollow Dr mmoja anayewasema sana wanaume, ila kila nikifungua simu naona ukurasa wake eti suggested for you!
Kwa mwanaume yeyote ukitaka kuishi kwa kuongezewa msongo,mfuate huyu msomi anajiita Dr makiu.Hana maana zaidi ya kutengeneza msongo tu kisha anatangaza kiingilio jinsi ya kuondoa msongo huo.
Kwa mwanaume yeyote ukitaka kuishi kwa kuongezewa msongo,mfuate huyu msomi anajiita Dr makiu.Hana maana zaidi ya kutengeneza msongo tu kisha anatangaza kiingilio jinsi ya kuondoa msongo huo.