Ni nani alimshauri Mourinho kumnunua Lukaku Man Utd?

Huyu jamaa hana uwezo wa kucheza timu kubwa! Hajui kukontroo mpira, ana touch mbovu, ni mzito sana na mwisho huwa haonekani kwenye mechi kubwa, kwa kifupi ni mzigo na hafai kuwepo kwenye timu kubwa kama Man Utd!
Povu ruksa...
Haaa! Kumbe Manure ni timu kubwa...basi sawa!
 
Huyu jamaa hana uwezo wa kucheza timu kubwa! Hajui kukontroo mpira, ana touch mbovu, ni mzito sana na mwisho huwa haonekani kwenye mechi kubwa, kwa kifupi ni mzigo na hafai kuwepo kwenye timu kubwa kama Man Utd!
Povu ruksa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]Lukaku ni liability kwa sasa. ..
 
hahaha MAN U umechana mikeka ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…