Sema Yanga, usitake kuificha aibu ya Yanga kwenye kichaka cha Simba. Yanga kapigwa 3-0 full stop, hicho kipigo Simba Ina miaka mingi haijawahi kupokea katika mashindano yoyote ya wabongoHizi timu mbili Yanga na Simba lazima zijifunze kitu,
Ni vizuri kuwaamini Makocha wazawa,pia wachezaji wazawa acheni mambo eti wachezaji wa kigeni.
Ni aheri vipigo vya ndani kuliko hii ya kupigwa mkono kwa kila mechi ya kimataifa.Sema Yanga, usitake kuificha aibu ya Yanga kwenye kichaka cha Simba. Yanga kapigwa 3-0 full stop, hicho kipigo Simba Ina miaka mingi haijawahi kupokea katika mashindano yoyote ya wabongo
Yanga hawezi kupigwa mkono mechi za nje kwa kuwa huwa hafiki hatua za makundi klabu bingwa Africa. Anaishia raundi ya pili au Shirikisho kwa wachovu wenziwe waliotolewaNi aheri vipigo vya ndani kuliko hii ya kupigwa mkono kwa kila mechi ya kimataifa.
Mwaka huu mlifika makundi au fluke za msimu uliopitaYanga hawezi kupigwa mkono mechi za nje kwa kuwa huwa hafiki hatua za makundi klabu bingwa Africa. Anaishia raundi ya pili au Shirikisho kwa wachovu wenziwe waliotolewa
Ndio maana mwaka huu hatukupigwa mkono maana tuliishia level za YangaMwaka huu mlifika makundi au fluke za msimu uliopita
Ndala mara ya Mwisho Makundi Imekanyaga Lini.Mwaka huu mlifika makundi au fluke za msimu uliopita
MtanikumbukaKweli kabisa, mkwasa yuko poa sana angeachwa amalize ligi.. Mwez wa 5 So mbali
Mkwasa ni mgonjwa mkuu, haya ni matokeo tu tuwe wavumilivu kidogo. Beira Boy,
Sent using Jamii Forums mobile app