Nchi yetu huwa na kaugonjwa ka kusahau. ...
Hapa ukurasa wao ulishafungwa bila uthibitisho wa tetesi zilizokuwepo kipindi kile.....(wanakijiji walikuwa na uhasama na shule kama sikosei?)
padri shauritanga angekuwa hai tungemuuliza kwa nn alimrusha yule bibi hilo shamba lililojengwa shule alafu mambo mengine ndo 2je hapa kujadili kwa nini shule ilichomwa moto.