Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na mie mwenye ID hii ndo mtoa adhabu,kuwa makini adhabu zangu lingine ni hatari.Karibu
Ahaha we sasa ni chachu siO tamuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Namwambia ukweli ohooooo nitampa adhabu ya karne zote akikosea.Ahaha we sasa ni chachu siO tamuu
Google anahusikaje kuwalipa tuelimisheMsawali yako atakujibu Mkurugenzi wa Jamii Forums Maxence Melo
Mimi ntakujibu baadhi!
Wanalipwa ndiyo,hii ni website kama website zingine. Google wanawatupia kiasi wanachokipata kila mwisho wa mwezi.
Inaongozwa na moderators humu ndo maadmin. Ukifanya kosa unaadhibiwa pia.
kaka umepotea siku hizi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nimespecialize kwenye kupiga watukutu ban, so kuwa makini!