Ni nani aliyewaambia jwaneng galaxy Fc kuwa Simba sc ilifungwa magoli 5 kwa 1 !? Kweli hii nchi haina Siri kabisa.

UTOTO WA SIMBA NA YANGA BN.....

WATU WAZIMA KABISA HUWQ WANAACHA AKILI PEMBENI.......
 
Aliyemwambia hizo habari kasahau kumwambia toka hayo matoΔ·eo, Simba hajakutana tena na Yanga, sanasana Yanga waliikimbia Simba kule Zanzibar baada ya kunusa hatari.

Huyu jamaa kashaingia kwenye mfumo.....
 
Nilikuwa sijacheka leo kutwa nzima, nimecheka sana. Lols

Hii Nchi hatujui kutunza siri, Jwaneng wameshajua wanacheza na vibonde wa Yanga! Dah
 
Daah Yanga tutunzieni siri sisi makolo tusiaibike.

Ni kweli mlitupiga kono la nyani hatukatai lakini ndo nini kutangaziana aibu mpaka kwa wageni?

Kuweni wazalendo hata kidogo.
 
Iwe Siri kwani hiyo Mechi ilichezewa chumbani? Mbona statistics ziko Mitandaoni?
 
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hata wakubwa ni wajinga.
Angalia jinga jingine hili.
 
Kumbe hata hakuongea vibaya Bali mashabiki WA Yanga ambao hawana elimu waliweka tafsiri Yao.πŸ˜”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…