Umesahau taasis muhimu sana katika kuandaa kiongozi, ''Familia"
Yanayofuata ni process na sio jambo la siku moja kuandaa kiongozi
Umesahau taasis muhimu sana katika kuandaa kiongozi, ''Familia"
Yanayofuata ni process na sio jambo la siku moja kuandaa kiongozi
Kama ni hivyo, sasa inakuwaje wanasiasa na taasisi za kidini zinashutumiana kwa kuandaa viongozi wa kisiasa? maana kama anayetakiwa kuandaa kiongozi ni familia, hakuna sababu ya kulumbana, je hao wanaolumbana wanalijua hilo?