Ni nani chanzo cha rushwa za ngono maofisini?

Ni nani chanzo cha rushwa za ngono maofisini?

MeVSMe

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2024
Posts
270
Reaction score
425
Mu Hali gani humu?

Tutete kidogo kuhusiana na Rushwa za ngono hasa maofisini. Suala la rushwa ya ngono maofisini limekuwa gumzo Kila kukicha, sasa Kuna sehemu niliketi buana, tulikuwa wanaume na wanawake.

Hii MADA ikaja mezani, Guess what! Wanaume takriban wote hoja Yao ilikuwa ni kwamba, mazingira ya hizi rushwa kutokea maofisini zinatengenezwa na wanawake wenyewe. Unakuta Boss Hana hata wazo la sexual na mfanyakazi wake lakini Kuna mazingira akitengenezewa inamlazimu tu. Mfano uliotolewa, ni

1. KUJIONESHA KILA MUDA OFISINI KWA BOSS
Hakuna kitu Cha maana kati yako na Boss wako lakini ushaenda ofisini kwake. Mara ujikalishe hovyohovyo, mara ummwagie sifa, umsogelee na kadha wa kadha

2. UNAPELEKA CHAI WAKATI SIO KAZI YAKO
Mdada akifika tu ofisini huyo keshakimbia kupeleka chai kwa boss, ilihali sio jukumu lake.

Haya ni baadhi ya mambo yalozungumzwa kuwa visababishi vya tamaa za ngono kwa Ma BOSS zetu. Kusema kweli nilijitahidi kutetea hoja yangu lakini waaapi wale mabwana niliona kama point zao zina make sense .Sasa swali likabaki kwangu hivi ni kweli sisi ndio chanzo Cha rushwa za ngono ofisini?

Mawazo yenu please
 
Ukosefu wa maadili kwa baadhi ya viongozi. Wengi wao hawana maadili, wengi wao wanatumia nafasi zao kuwarubuni wanawake walio chini yao.

Viongozi wengi ni wahuni hawana maadili hata kidogo, wengi wao wanasaliti ndoa zao na kutumia madaraka yao kuwarubuni walio chini yao.
 
Most of them wanatoa hoja personal, so ni vigumu kuamini kama ni kweli ama la!
Hizi ishu za sextotion ni zilezile.. mana mwanaume hapo lazima atokee kama bos na mwanamke mfanyakaz au mtafta kazi. Hapo Kuna battle la gender. Ndo mana kwa mwanaume ni proud na kwa mwanamke ni fedheha/ujivunu wa kudeti na bos hasa wakisikia WanawaKE wenzake.

What you think from here?
 
Hizi ishu za sextotion ni zilezile.. mana mwanaume hapo lazima atokee kama bos na mwanamke mfanyakaz au mtafta kazi. Hapo Kuna battle la gender. Ndo mana kwa mwanaume ni proud na kwa mwanamke ni fedheha/ujivunu wa kudeti na bos hasa wakisikia WanawaKE wenzake.

What you think from here?
Oooohps😞😞😞 napata picha sasa, hakuna sehemu niliwahiona Boss ni mwanamke na kukawa na hii shida. Gat it
 
Mu Hali gani humu?

Tutete kidogo kuhusiana na Rushwa za ngono hasa maofisini. Suala la rushwa ya ngono maofisini limekuwa gumzo Kila kukicha, sasa Kuna sehemu niliketi buana, tulikuwa wanaume na wanawake.

Hii MADA ikaja mezani, Guess what! Wanaume takriban wote hoja Yao ilikuwa ni kwamba, mazingira ya hizi rushwa kutokea maofisini zinatengenezwa na wanawake wenyewe. Unakuta Boss Hana hata wazo la sexual na mfanyakazi wake lakini Kuna mazingira akitengenezewa inamlazimu tu. Mfano uliotolewa, ni

1. KUJIONESHA KILA MUDA OFISINI KWA BOSS
Hakuna kitu Cha maana kati yako na Boss wako lakini ushaenda ofisini kwake. Mara ujikalishe hovyohovyo, mara ummwagie sifa, umsogelee na kadha wa kadha

2. UNAPELEKA CHAI WAKATI SIO KAZI YAKO
Mdada akifika tu ofisini huyo keshakimbia kupeleka chai kwa boss, ilihali sio jukumu lake.

Haya ni baadhi ya mambo yalozungumzwa kuwa visababishi vya tamaa za ngono kwa Ma BOSS zetu. Kusema kweli nilijitahidi kutetea hoja yangu lakini waaapi wale mabwana niliona kama point zao zina make sense .Sasa swali likabaki kwangu hivi ni kweli sisi ndio chanzo Cha rushwa za ngono ofisini?

Mawazo yenu please
Wanaovaa vinguo vya kushawishi
 
Mu Hali gani humu?

Tutete kidogo kuhusiana na Rushwa za ngono hasa maofisini. Suala la rushwa ya ngono maofisini limekuwa gumzo Kila kukicha, sasa Kuna sehemu niliketi buana, tulikuwa wanaume na wanawake.

Hii MADA ikaja mezani, Guess what! Wanaume takriban wote hoja Yao ilikuwa ni kwamba, mazingira ya hizi rushwa kutokea maofisini zinatengenezwa na wanawake wenyewe. Unakuta Boss Hana hata wazo la sexual na mfanyakazi wake lakini Kuna mazingira akitengenezewa inamlazimu tu. Mfano uliotolewa, ni

1. KUJIONESHA KILA MUDA OFISINI KWA BOSS
Hakuna kitu Cha maana kati yako na Boss wako lakini ushaenda ofisini kwake. Mara ujikalishe hovyohovyo, mara ummwagie sifa, umsogelee na kadha wa kadha

2. UNAPELEKA CHAI WAKATI SIO KAZI YAKO
Mdada akifika tu ofisini huyo keshakimbia kupeleka chai kwa boss, ilihali sio jukumu lake.

Haya ni baadhi ya mambo yalozungumzwa kuwa visababishi vya tamaa za ngono kwa Ma BOSS zetu. Kusema kweli nilijitahidi kutetea hoja yangu lakini waaapi wale mabwana niliona kama point zao zina make sense .Sasa swali likabaki kwangu hivi ni kweli sisi ndio chanzo Cha rushwa za ngono ofisini?

Mawazo yenu please
Naona kama umeruka hasa inapoanzia. Mwanamke analeta ombi la kuajiriwa. Afisa mwajiri anatoa sharti la rushwa ya ngono.
Utendaji mbovu au usioridhisha wa mfanyakazi mwanamke au kaharibu sehemu. Hii inaweza ikawaangukia wote. Mwanamke akajirahisisha ili asiachishwe kazi, au bosi akambana na kumpatia kirahisi akimtishia kumfuta kazi.
Mazingira yanaonesha, hata kama mwanamke anamtayarishia chai bosi, au kila wakati anajipeleka ofisini, kama sheria na taratibu za kazi zinazingatiwa, hakuna uwezekano wa ngono kutokea kazini, labda wakubaliane. Bosi akikamatwa na kudhihirisha anapokea rushwa ya ngono, atapoteza ubosi wake.
 
Oooohps😞😞😞 napata picha sasa, hakuna sehemu niliwahiona Boss ni mwanamke na kukawa na hii shida. Gat it
Kinachotokea ofisin sababu ya kazi au cheo ndicho kinachotokea chuo sababu ya maksi au sapu. Na mwanaume Kuna kisauti kinakujia masikion kwamba huyu usimuacheee.. sio kinyonge kula huyu!
 
Njaaa kwa wataka kazi.....na amu kwa maboss....
 
Naona kama umeruka hasa inapoanzia. Mwanamke analeta ombi la kuajiriwa. Afisa mwajiri anatoa sharti la rushwa ya ngono.
Utendaji mbovu au usioridhisha wa mfanyakazi mwanamke au kaharibu sehemu. Hii inaweza ikawaangukia wote. Mwanamke akajirahisisha ili asiachishwe kazi, au bosi akambana na kumpatia kirahisi akimtishia kumfuta kazi.
Mazingira yanaonesha, hata kama mwanamke anamtayarishia chai bosi, au kila wakati anajipeleka ofisini, kama sheria na taratibu za kazi zinazingatiwa, hakuna uwezekano wa ngono kutokea kazini, labda wakubaliane. Bosi akikamatwa na kudhihirisha anapokea rushwa ya ngono, atapoteza ubosi wake.
Fact
 
Back
Top Bottom