Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,750
- 2,283
Linapokuja swala la kubadili dini katika mahusiano, Wanaume wengi wa kiafrika huwa inakuwa ngumu sana. Na pale inapotokea kwa mwanaume huwa wengi wetu tunamshangaa kidogo mwanaume anaebadili dini yake kumfata mpenziwe wa kike.! Ila kwa mwanamke kumfata mwanaume ni kama kawaida na wengi wanaona inatakiwa kuwa hivyo.
Kwa upande wako vipi ikitokea?, uko tayali kuhama kwenye imani yako ulipo zaliwa ukiabudu kwa ajiri ya Mapenzi?!.
Kwa upande wako vipi ikitokea?, uko tayali kuhama kwenye imani yako ulipo zaliwa ukiabudu kwa ajiri ya Mapenzi?!.