Grand Master Dulla
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 411
- 148
- Thread starter
-
- #21
What did he do?
Jamaa alikuwa ni noma alikuwa na kina chancellor wa iringa alikulia iringa na dar ila kwao ni dar ubungo na manzese na baba yake mzee yahya anakaa ubungo iringa ni kwa mama yake,alikuwa anapiga ngumi balaa dar nzima wanamjua huyo miaka hiyo sifa yake kubwa waliyokuwa wanamwogopea ni jambazi na alikuwa anakamatwa sana sababu ya tuhuma hizo za ujambazi wa silaha,ni kweli alipigwa bunduki iringa nafikiri siyo na mzungu bali na dereva wa magari ya mafuta masemi yanayokwenda zambia enzi hizo mafuta hadimu madereva wanatembea na bunduki ujambazi nje nje,alikuwa anawazuia saa 2 usiku wasiondoke mpaka washerehekee nao,ndipo dereva akadhani anabugudhiwa akampa ya mkono,
kaka skendo unamjua vizuri sana wewe ebu tupe stori zake na vituko vyake zaidi usiache kutupa uondo wake bwana.
loh.....almanusra nidhani nilikuwa msumbiji...
Labda alikuwa mbabe wa mtaa wao.....
Anyway mleta uzi, tiririka basi na viroja vya huyo jamaa
Jamaa alikuwa ni noma alikuwa na kina chancellor wa iringa alikulia iringa na dar ila kwao ni dar ubungo na manzese na baba yake mzee yahya anakaa ubungo iringa ni kwa mama yake,alikuwa anapiga ngumi balaa dar nzima wanamjua huyo miaka hiyo sifa yake kubwa waliyokuwa wanamwogopea ni jambazi na alikuwa anakamatwa sana sababu ya tuhuma hizo za ujambazi wa silaha,ni kweli alipigwa bunduki iringa nafikiri siyo na mzungu bali na dereva wa magari ya mafuta masemi yanayokwenda zambia enzi hizo mafuta hadimu madereva wanatembea na bunduki ujambazi nje nje,alikuwa anawazuia saa 2 usiku wasiondoke mpaka washerehekee nao,ndipo dereva akadhani anabugudhiwa akampa ya mkono,
kaka skendo unamjua vizuri sana wewe ebu tupe stori zake na vituko vyake zaidi usiache kutupa uondo wake bwana.
Huyu jamaa alikuwa mbabe kweli mara ya mwisho nilikutana nae osterbay polisi miguu ilikuwa imemvimba na baada ya hapo nikaja kusikia amefariki,wadogo zake wote walikufa kwa bunduki
Iringa jamaa alikuwa anaogopeka kishenzi, ndo ilikuwa inadaiwa jamaa anachapa iringa nzima. Vijana wa leo kwa taarifa yenu enzi za mwalimu kulikuwa na mbabe wa darasa, shule, mtaa mkoa. Hao jamaa walikuwa balaa tupu usiombe ukanyage reli zao. Wanakudunda mbaya, siku hizi maisha yamekuwa peace sana, hakuna tena yale mambo ya ubabe
Grand Master Dulla hivi unakumbuka siku peppe kalle alipokuja dar mara ya kwanza pale friends corner? nakumbuka ilikuwa enzi zile za kibao cha hidaya basi huyu bwana ndo mara ya mwisho kumuona machoni. alitumika kama baunsa manake alikuwa anapiga vipisi usimpimie.
Miaka ya 80-90 kulikuwa na jamaa mmoja mitaa ya manzese na magomeni alikuwa anaitwa Cool 9 huyu bwana alikuwa ni maarufu sana Dar kama siyo TZ kabisa,na chanzo cha umaarufu wake ni kwamba huyu jamaa alikuwa ni fundi sana wa kupigana alikuwa nafikiri ndio mbabe wa dar es salaam enzi hizo sasa sijui aliishia wapi mana alisifika sana.
kwa yeyote mwenye kumjua na kujua vituko vyake si vibaya tukakumbushana vitu vya zamani ingawa vingine vilikuwa vinachukiza lakini maudhi yake yameshamezwa na wakati,na itakuwa kama kumbukumbu kwa matukio tusiyo yajua.FUNGUKENI WADAU!!!
Miaka ya 80-90 kulikuwa na jamaa mmoja mitaa ya manzese na magomeni alikuwa anaitwa Cool 9 huyu bwana alikuwa ni maarufu sana Dar kama siyo TZ kabisa,na chanzo cha umaarufu wake ni kwamba huyu jamaa alikuwa ni fundi sana wa kupigana alikuwa nafikiri ndio mbabe wa dar es salaam enzi hizo sasa sijui aliishia wapi mana alisifika sana.
kwa yeyote mwenye kumjua na kujua vituko vyake si vibaya tukakumbushana vitu vya zamani ingawa vingine vilikuwa vinachukiza lakini maudhi yake yameshamezwa na wakati,na itakuwa kama kumbukumbu kwa matukio tusiyo yajua.FUNGUKENI WADAU!!!
tupe stori zake kaka ilikuwa mwaka gani hiyo na alikufa kwa ishu gani mani testa tupe unavyovijua bhanaaa!! wadogo zake we kumbe unawjua ni kina nani hao?
I see huyu chalii alikuwa ni noma, yeye pamoja na ndugu zake kina Shedadi, Ayat na dada yao alikuwa anaitwa Chola. Kwao mtu aliyekuwa ametulia alikuwa mdogo wao alikuwa anaitwa Ally Tungu. Utemi wa kuchukua mademu kinguvu alikuwa haufanyii disco tu bali hata mitaani, akimtaka demu halafu akatae maisha yake yatakuwa magumu sana hivyo wengi walikuwa wanakubali yaishe.
Alipigwa risasi na dereva wa lori baada ya kusimama mbele ya lori hilo na kulizuia lisiondoke mpa,Mkuu umeishi Iringa?
kule kwetu kulikuwa na pawa mwanza, pawa mabula, pawa sozia na pawa malimao
walikuwa wanapiga hadi chai maharage zinaanguka
Version hii naona ndio imekua kamili zaidi. Enzi zileee! Yule kulunaini mie nilidhani alikua maarufu iringa tu kumbe mpaka daslama...ndio maana alikua anaonea sana iringa alikua anaona wote washamba tuu.I see huyu chalii alikuwa ni noma, yeye pamoja na ndugu zake kina Shedadi, Ayat na dada yao alikuwa anaitwa Chola. Kwao mtu aliyekuwa ametulia alikuwa mdogo wao alikuwa anaitwa Ally Tungu. Utemi wa kuchukua mademu kinguvu alikuwa haufanyii disco tu bali hata mitaani, akimtaka demu halafu akatae maisha yake yatakuwa magumu sana hivyo wengi walikuwa wanakubali yaishe.
Alipigwa risasi na dereva wa lori baada ya kusimama mbele ya lori hilo na kulizuia lisiondoke mpaka atake yeye, akamkuta mzee wa kihehe amedata zaidi yake akamuwasha. Kaka yake Ayat alifariki kwenye tukio la ujambazi.
Nakumbuka siku moja disco alikuja akakuta watoto kibao ambao walikuwa na kiingilio pungufu wako nje akawaambia leteni hela mlizonazo nitawaongezea muingie wote. Basi watoto wakampa hela zote baada ya hapo jamaa akazama ndani (na alikuwa halipi kiingilio, muulizeni Papaa Felicia Chaula wa FM academia anamfahamu vizuri).
Wale watoto wakawafuata Polisi wa patrol wakamshitaki. Polisi kuja jamaa akatoka akawaambia kwa ukali kuwa wasimsumbue yuko kwenye starehe zake kama wana shida naye wamfuate kesho, Polisi wakaondoka wamenywea. Dah!
Miaka ya 80-90 kulikuwa na jamaa mmoja mitaa ya manzese na magomeni alikuwa anaitwa Cool 9 huyu bwana alikuwa ni maarufu sana Dar kama siyo TZ kabisa,na chanzo cha umaarufu wake ni kwamba huyu jamaa alikuwa ni fundi sana wa kupigana alikuwa nafikiri ndio mbabe wa dar es salaam enzi hizo sasa sijui aliishia wapi mana alisifika sana.
kwa yeyote mwenye kumjua na kujua vituko vyake si vibaya tukakumbushana vitu vya zamani ingawa vingine vilikuwa vinachukiza lakini maudhi yake yameshamezwa na wakati,na itakuwa kama kumbukumbu kwa matukio tusiyo yajua.FUNGUKENI WADAU!!!