Ni nani huyu Cool 9 Jamani?

Nilikuwa nachart na jamaa flani walipata kuish nae ubungo miaka ya nyuma anasema jamaa alikuwa HB flani hv la kiarabu so madem wa enzi hizo wakawa wanamshobokea saanaaa kwa huo uhb wake.na ndicho kilichomuua maana inasemekana aliondoka na huu ugonjwa wetu.watu wakasema amerogwa kwa kuwa anapiga sana watu lakin inadaiwa hyo haikuwa kweli kilichomuondoa ni ngwengwe
 

sasa siisi wa mikoani tutamjuaje tuwekee picha tumwone hhahahahahaaaaaaaa
 
bestito lara 1 umebadilisha avatar yako au vipi siielewi kabisa best nin kimetokea tena
 
Natamani Enzi hizo zirudi wanaume tupigane....nimemiss kutwangana makonde.Nilikuwa mbabe wa ubongo na ngumi popote nilipopita
 
Co Wewe Tu Last Emperor Hata Mm Huku Kwetu MburahAti Nshawatifua Sana Watu Za Chemba Zamani Natamani TenA Zama Zile Zirudi Tupeane MakonDe Tu Mitaani Watoto Wadogo Waweke Heshima Mitaani..yaani Naugwadu Wa Kutwanga Mtu Kinyama..
 
Yaani Bwana Ww Mi Namaliza Migomba Tu Huku Nondo Sana Ila Cjapata Human PunchNg Bag Tu.nahamu Ya Kutifua Mtu We Acha Tu.
 
Hivi Ni Nani Anayemkumbuka Ngwena Yule Mbabe Wa Hapa Kwetu Mburahati?
Wadau....
 
Kuna mdogo wake cool 9 ana ukaribu sana na jamaa yangu flani huko mkoani.ntajitahid kumshawish aje hapa jf atupe mastori ya ubabe wa kakayake
Poa basi Doyi utakuwa umefanya jambo la maana sana hembu mwonyeshe huu uzi halafu mwambie tunataka na yeye achangie zaidi
 
[emoji15] [emoji15] duh kumbe kitanzin ina wababe tangu siku nyingi? Hadi sasa bado kuna magrupu ya wakorofi wamajiita kitakita. Ni wakorofi balaa[emoji26] [emoji26] [emoji26]

Kule kwetu kulikuwa na Pawa Mwanza, pawa Mabula, Pawa Sozia na Pawa Malimao

Walikuwa wanapiga hadi chai maharage zinaanguka
 
Dah jamaa al8kuwa anamchukua dada yangu amina kwa lazima... Anakuja gangilonga anamchukua wanaenda nae mapinduzi primary sie tunabon"gaa tu sku moja sista akajificha dah alichapwa... Bora tulivohama..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…